kioju
JF-Expert Member
- Apr 28, 2014
- 804
- 271
Wana JF habr zenu, mie leo nashda moja, kuna laptop ninayo ila haina partition yan nikipga window chin kila kitu kinapotea,
Ila yupo jamaa akanambia niweke partition sasa watu kama mimi BBC (Born Before Computer) sijui pa kuanzia wala pa kuishia, kwahiyo naomba mnisaidie wanajamii jinsi ya kuweka
Nashukuru kwa ushirikiano
Ila yupo jamaa akanambia niweke partition sasa watu kama mimi BBC (Born Before Computer) sijui pa kuanzia wala pa kuishia, kwahiyo naomba mnisaidie wanajamii jinsi ya kuweka
Nashukuru kwa ushirikiano