Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Kiwanja kinauzwa, kipo Bunju A Stand ya Shule. Ukubwa wa kiwanja ni mita 20 x mita 26, sawa na SQM 400(makadilio), Bei ni TZS Milioni 8. Eneo hili ni tulivu na lina mazingira mazuri. Kiwanja hiki...
0 Reactions
5 Replies
597 Views
Viwanja vilivyopimwa kwa makazi vinauzwa...Viko Gezaulole karibu na Islamic beach (Mita 920 toka beach).Bei ni 40,000 kwa square meter na utapatiwa hati yako bila gharama za ziada. Kwa kutembelea...
1 Reactions
5 Replies
370 Views
Habari za leo, Tunauza viwanja vilivyopimwa kuanzia square meter 500 na kuendelea. Viwanja hivi vipo kigamboni Cheka, Mwasonga na Kimbiji. —Kwa Mwasonga square meter1 ni elf5 —Kwa cheka square...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu Kiwanja kinauzwa kigamboni njia ya kwenda changani beach Dege kituo kinachofuata Kiwanja kimepimwa na kina hati Huduma zote za kijamii zipo Ukubwa wa kiwanja ni 587 Sqmt...
0 Reactions
10 Replies
916 Views
Habari za majukumu wanazengo mada inajieleza. Viwanja vipo miti mirefu, Malimbe-Mwanza Ukubwa 70×35m, kimoja kina hati ya ardhi na relevant document kinauzwa 55 mil. Cha pili hakina hati sababu...
1 Reactions
3 Replies
299 Views
Kiwanja kwa bei ya OFA ya kufungia mwaka. kiwanja kipo Mbezi Msakuzi kwa Lipelanya Shule ya Makamba. Ukubwa ni 45 kwa 35 metres. Bei ni million 30 tu. Umbali kutoka barabarani ni km 2...
0 Reactions
44 Replies
2K Views
Ninauza kiwanja changu kipo Goba Kulangwa kina ukubwa wa mita 15 kwa mita 30. Bei ni milioni 14 Nyaraka Serikali za mitaa. Huduma zote za kijamii zipo 0762282526
1 Reactions
20 Replies
1K Views
  • Redirect
Viwanja vilivyopimwa kwa makazi vinauzwa...Viko Gezaulole karibu na Islamic beach (Mita 920 toka beach).Bei ni 40,000 kwa square meter na utapatiwa hati yako bila gharama za ziada. Kwa kutembelea...
0 Reactions
Replies
Views
VIWANJA VIPO UWANJA MPYA WA DODOMA - MSALATO UPANDE WA KITELELA, NA INAPOJENGWA BARABARA YA MZUNGUKO RING ROAD BEI KUANZIA 1,000,000 MPAKA MIL 2 UKUBWA NI KUANZIA SQM 500 HADI 1,600 MAWASILIANO...
2 Reactions
42 Replies
5K Views
Shamba lipo Zinga kwa Mtoro kilomita moja na nusu kutoka barabara kuu ya lami ya Bagamoyo(Bagamoyo road). Shamba lina ukubwa wa heka sita na nusu(6.5). Linafaa kwa matumizi ya kilimo, kujenga...
0 Reactions
4 Replies
375 Views
Location: Songea Mjini (Mateka) Ukubwa: nusu hekari HATI miliki IPO Umeme, maji Bei ni 6 million Contact: 0758234233 Mbeele .. ,. NYUMa Umbali ni kama dakika 5 tu Toka Songea Mjini(Usafiri
1 Reactions
5 Replies
212 Views
Habari za wakati huu wana jamvi,Ninauza kiwanja maeneo ya kigamboni kisarawe 2 chenye ukubwa wa sqm 838 kipo mita chache sana kutoka barabara kubwa (dakika 5 kutoka uwanja wa mpira cha Yanga &...
2 Reactions
5 Replies
333 Views
Nauza kiwanja Kibamba Gogoni Dar, ukubwa wa mita 20 kwa 20, umbali wa km 1 toka stand /Morogoro road, miundombinu ya maji na umeme pamoja na barabara vipo. Bei ni 8 millions(mazungumzo yapo)...
1 Reactions
3 Replies
351 Views
Kibaha msangani juhudi. Kipo karibia na stend ya bajaji Km 5 KUtoka morogoro road Ukubwa mita 20 kwa 20 Milioni tatu na nusu. Barabara nzuri ya lami. Umeme na maji vimefika.
2 Reactions
20 Replies
758 Views
Shamba lipo Chalinze Pingo,usawa wa kiwanda cha tiles. Km 4 kutoka Morogoro road. Katika shamba kuna kijumba cha vyumba viwili choo na bafu Ukubwa eka 8 Pote milioni 12 Panafaa kwa kilimo na ufugaji
2 Reactions
11 Replies
693 Views
[emoji95]VIWANJA KIGAMBONI MWEMBE MDOGO[emoji95] UMBALI [emoji3502]Km 22.6 kutoka Ferry. [emoji3502]Km 24 kutoka kigambon Darajani [emoji3502]Kutoka Kibada Center ni kilomita 15 hadi site SIFA...
0 Reactions
5 Replies
318 Views
  • Redirect
Hilo eneo lipo tuangoma stand mpyaaa, Umbali kutoka stand hadi site ni dk 10 kwa kutembea kwa miguu Ukubwa wa eneo ni mita 20/23 Bei mil 15 maongezi yapo kidogo Pia Kuna chumba kimoja...
1 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Emmaus, ipagala south, Dodoma Kiwanja kikubwa Cha 1300 sqm kinauzwa. Kinafaa kwa kujenga lodge au apartments, eneo lipo barabarani kabisa. Bei ni milioni 67. 0743387260
1 Reactions
Replies
Views
Usikubali kuingia 2024 bila kumiliki kiwanja. Pata kiwanja kibaha kwa Mfipa kwa mil. 2.5 Kutoka main road ni km.1.5 Huduma muhimu zote zipo Wasiliana nami 0685223804
0 Reactions
1 Replies
263 Views
Shamba la heka 100 linauzwa lipo Kibaha: 1. Lipo umbali wa km5.4 kutoka morogoro road 2. Lipo barabarani 3. Limepimwa na lipo kwenye ramani ya mipango miji 4. Huduma za kijamii zipo kwa...
2 Reactions
9 Replies
618 Views
Back
Top Bottom