Ninapangisha frem mbili kwa pamoja, njia ya Tangibovu-Goba, zinafaa kwa mini-supermarket. Tayari nilikuwa nimeshaweka shelf kama picha zinavyoonesha.
wasiliana kwa simu +255743831889 au PM kwa...
Kiwanja Kipo Goba, Mtaa wa Muungano.
Karibu na Mivumoni.
Ukubwa wa kiwanja: SQM 500, Bei Milioni 8.5.
Direction: Ukitokea Tegeta Wazo alafu Mivumoni center then Kiwanjani.
Kipo Kilometer3 kutoka...
Habari za asubuhi ndugu zangu. Natafuta shamba la kukodisha ili nifuge kuku. Liwe la hekari tatu, pia liwe Dar au nje ya Dar (Pwani) ila isiwe mbali na Dar es salaam. Mwenye nalo aniPM tafadhari...
Chumba sebule jiko pamoja na choo chake kinapangishwa maeneo ya savei dakika 7 tokea mlimani city. Bei yake ni sh 180, 000/= inahitajika kodi ya mwaka.
Nb hakuna uzio ila kuna usalama na...
Habari zenu wanajamvi,Natafuta shamba la kukodi la eka 20 kwa ajili ya kilimo cha ufuta kwa msimu unao anza yaani mwezi wa 11,12,1 au 2 kulingana na majira husika.
Mimi napatikana Dar nipo tayari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.