Serikali imesema kuwa katika kipindi cha miaka mitatu ijayo itatumika kutoa Elimu kwa wananchi juu ya Katiba mpya.
Hapa najiuliza kwa maandishi ina maana mpaka leo Wananchi hawana uelewa juu ya...
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, Mwekezaji wa kimataifa, Mfanyabiashara Bilionea Joseph Mbilinyi ameingia Kyela na kuwasha moto wa Katiba mpya.
Baada ya kuanza kuwasomea wananchi yaliyo ndani ya...
Jukwaa la Katiba Tanzania (JUKATA) limetoa sheria mbili za mfano kwa ajili ya mchakato wa kufanikisha Katiba Mpya ambapo wamedai kuwa uandaaji wa sheria hizo ulihusisha makundi mbalimbali kwenye...
Nina wasiwasi na hawa CHADEMA kuwa ni tawi la CCM ,ukiangalia kwa undani utaona wananchi tumehamishiwa kwenye bandari,mbuga na mambo mengi ambayo mwisho wa siku tunapigwa na kufungwa bao la...
Wanaharakati wa Katiba na Haki za Binadamu wamekosoa kauli ya Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Damas Ndumbaro juu ya kutoa elimu ya Katiba kwa kipindi cha miaka mitatu, wakidai mpango huo unalenga...
Kwa kumbukumbu zangu hii Wizara haina Waziri aliyekaa zaidi ya mwaka mmoja na nusu Taingia awamu ya tano mwishoni.
Embu tusaidieni wanabodi. Kuna tatizo gani?
Mawaziri wa Katiba na Sheria...
Mh Damas Ndumbaro ambaye ni Waziri wa Katiba na Sheria , ametamka hadharani kwamba zaidi ya 50% hawaijui Katiba ya sasa , Kwa tafsiri ya Kawaida ni kwamba zaidi ya nusu ya Wananchi hawaijui Katiba...
Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson amezuia mjadala wa sakata la bandari kuzungumzwa bungeni lakini akaruhusu kuwa litakapokuja kwa utaratibu mwingine wa kibunge itakuwa ruksa.
Spika Dk Tulia ametoa...
Wadau wenye AKILI KUBWA tulijua mapema sana kuwa Kitendo cha CCM kuvuruga ule MCHAKATO wa KATIBA MPYA ndani ya BUNGE la KATIBA ulikuwa wa Kukataa KATIBA MPYA.
Kuthibitisha hilo
1. Magufuli...
Amekiri Freeman Mbowe kuwa wapo makamanda wengi waandamizi kwa sasa hawamwelewi.
Msimamo wetu ulikuwa mwema sana kabla ya hoja ya maridhiano. Kwamba bila katiba mpya hakuna uchaguzi.
Hivi kweli...
Katiba iliyopo ni ya mfumo wa chama kimoja ambacho ni CCM na ilitungwa na CCM mwaka 1977.
Tanzania hatuna mfumo wa vyama vingi, bali tuna mfumo wa chama kimoja (CCM), ambamo kuna vyama vingi...
Nakumbuka kipindi cha mchakato wa Katiba, Prof Issa Shivji akitoa Darsa kwa Viongozi wa Vyama vya Siasa, alisema Wananchi wengi hawana Elimu ya Katiba na kusema Ukienda kuwahoji wanataka Katiba...
WAZIRI DKT. DAMAS NDUMBARO - ZAIDI YA ASILIMIA 50 YA WATANZANIA HAWAIFAHAMU KATIBA, ELIMU YA KATIBA KUTOLEWA KWA MIAKA MITATU
"Kuna tafiti kadhaa zimefanyika na kubaini zaidi ya asilimia 50 ya...
Hii nchi kila kitu ni drama; waziri wa katiba na sheria na watumishi wa ofisi yake tayari wameandaa kinachoitwa kampeni ya elimu ya katiba mpya na bajeti yake inalengwa kwa mwaka wa kwanza kutumia...
Mkurugenzi wa kituo cha sheria na haki za Binadamu nchini (LHRC), Dk. Anna Henga amesema kitendo cha kufikiria kuanza kutoa elimu kuhusu Katiba (1977) inayotumika kwa sasa ambayo tayari kumekuwepo...
Unauliza sana,
Ajenda kuu kwa Sasa ni katiba mpya, tunahitaji mabadiliko ya katiba ili tutengeneze mfumo mzuri tunaoutaka Kama Watanzania juu ya maisha yetu.
Hili ni suala muhimu sana kwa...
Akizungumza leo amenukuliwa na vyombo vya Habari akidai kwamba , Ni vema Katiba ya Tanzania ikawa kama Katiba ya Marekani, ambayo inaweza kufanyiwa Marekebisho bila hata kuanza upya mchakato wa...
Tayari Bunge limepitisha bajeti ya Sh9 bilioni kwa ajili ya kuanza utekelezaji wa mchakato wa Katiba mpya. Hata hivyo, haijulikani ni mchakato huo utafikia tamati na nchi kupata Katiba mpya...
Aisee, hivi inakuwaje muwekezaji mmoja tuu anafanya mpaka tubadili sheria za nchi ambazo zilitungwa kwa umakini mkubwa? Hii sheria ya maliasili ni mpya kabisa ya mwaka 2017 tuu hapo, ni kwa nini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.