Najiuliza,hivi kwa sheria za nchi yetu hasa zinazohusu utumishi wa umma na kwa mujibu wa taratibu za kitabibu,mtumishi wa umma ambae yuko katika matibabu either akiwa amelazwa au anahudhuria...
Kwa yule anayefatilia umoja ulio kuwepo enzi za uongozi wa awamu ya kwanza na akilinganisha na uongozi wa awamu zilizofuata hadi kufikia awamu tuliyo nayo sasa ataona mporomoko mkubwa sana wa...
Wanabodi,
Leo ni Sikukuu ya Muungano, imeamuliwa kuidhinishwa kimya kimya.
Naitafakari kidogo siku hii nikiangazia umuhimu wa siku hii na kuilinganisha ya siku ya uhuru.
Katika taifa lolote, siku...
Mpaka kufikia leo mwezi huu kusema ukweli sisi watu wajimboni kwake hatumuelewi anafanya nini zaidi ya kuchafua hali ya utulivu nchini kwa siasa za kizandiki na unafiki wa hali ya juu huku akijua...
Mfumuko wa bei wa Taifa kwa mwaka ulioishia Mwezi Juni,2019 umeongezeka hadi asilimia 3.7% kutoka asilimia 3. 5% kwa mwaka ulioishia Mwezi MEI,2019.
Hayo yamesema leo Julai...
Kwa sasa, naamini Mhariri makini na mzalendo wa nchi hii, habari za watu kutekwa/kuuwawa ndio zitakuwa habari za kupewa kipaumbele katika chombo chake cha habari kuliko habari nyingine yoyote ile...
President Shein flies to UK for special visit
DAILY NEWS Reporter in Zanzibar
08/07/2019
PRESIDENT Ali Mohamed Shein flew out of the country on Saturday, a statement from the Isles State House...
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimefanya mabadiliko ndani ya Kamati Kuu ya chama hicho kwa kumwondoa Khadija Shabani Taya maarufu ‘Keisha’ baada ya kukitumikia chombo hicho nyeti kwa siku 396.
BY...
Mkuu mheshimiwa rais magufuli
Mungu akubariki kwani kazi yako haina wakulinganisha naye labda hayati Nyerere.
Najidai kuwa mtanzania kwasababu yako mheshiwa rais wangu.
Mungu akubariki sana...
Katibu Mkuu wa CCM, Dk Bashiru Ally ametaja sababu ya ziara yake mkoani Kilimanjaro kuanzia Wilaya ya Hai lilipo jimbo la Hai ambalo mbunge wake ni mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe.
Amesema...
Wasalaam, kundi la watu wapatao 300 Leo mchana wamevamia kikao cha ndani cha chadema kata ya ikungi na kuwateka m/chadema jimbo la segerea Agnesta kaiza na m/kiti chadema jimbo la singinda...
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, amepiga marufuku makamanda wa polisi wa mikoa nchini kuyazuia kusafiri usiku mabasi yanayotoka mikoa ya Kanda ya Ziwa kwenda Dar es Salaam au kurudi...
Shirika la Reli Tanzania TRC limeanza kukarabati njia ya Reli ya kati ya kutoka Dar Es Salaam mpaka Isaka iliyopo Wilaya ya Kahama Mkoa wa Shinyanga takribani kilomita 970 ili kuimarisha reli hiyo...
BURIGI CHATO;
Hali ya hewa ya ukanda wa Kagera hadi Chato ina mvua za misimu mitatu ya mvua kwa mwaka hivyo ukame ni nadra sana kutokea katika ukanda huo. Na kwa sababu ya kuwa upande wa...
na Salehe Mohamed
Tanzania Daima
RAIS mstaafu Benjamin Mkapa, alimnusuru Rais Jakaya Kikwete kwenye kitanzi cha kung'olewa kwenye wadhifa wa uenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania...
Waziri wa Fedha na Mipango Dokta Philip Mpango amezitaka taasisi za kifedha hapa nchini kuwa makini na mitandao ya uhalifu ya kimataifa.
Waziri Mpango amesema hayo leo Julai 8,2019 katika hafla...
Katibu mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Dr.Bashiru Kakurwa kaandika historia wilayani Hai kwanza kwa namna alivyopokelewa na idadi kubwa ya wanachama wa CCM na kubebwa na kina mama baada ya kuchuka...
Kutokana na kauli ya Makonda inaonekana wazi ilililenga Bunge, kuwa limechangisha fedha kwa jina la Timu ya Taifa ila hazijafika.
Binafsi nilijiuliza sana, haya mahaba ya wabunge kwa Taifa Stars...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.