Kama kuna Siku ambayo Rais wangu umeniangusha basi ni leo hasa kwa Kitendo chako cha Kuamua Kumruhusu Rais wa Wakuu wa Mikoa wote nchini Tanzania na Mwanao Kipenzi na asiyegusika Mkuu wa Mkoa wa...
Katika siku za karibuni Mwanasiasa Mfanya biashara Rostam Azizi amekuwa akijtokeza sana hadharani na kutoa matamko mbalimbali ya kisiasa ni kama vile amezaliwa upya.Hali hii imekuwa ikinishangaza...
Serikali imesema imeridhishwa na kasi ya ujenzi wa mradi wa maji wa Lamadi uliopo Wilaya ya Busega Mkoani Simiyu ambao utekelezaji wake umefikia asilimia 93.
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maji...
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Vijana na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama ameipongeza Bodi ya wadhamini na menejimenti ya Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jami (NSSF) huku akiitaka...
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limetenga kiasi cha shilingi bilioni 400 kwa ajili ya kazi ya kusambaza umeme kwenye maeneo takribani 754 yaliyopitiwa na miundombinu ya umeme lakini hayana...
Moja kwa moja,
Kwa hali ninavyoiona africa na dunia nzima kwa ujumla ni hakika kwamba mwaka 2020 ni mwaka wa kuiondosha ccm na wapumbavu wake kutoka madarakani.
Nawahakikishia wana JamiiForums...
if you think the worst was over, think again!
The cycle is about to start again!
From Richmond, Dowans to Symbion with peddling and corruption!
TANESCO is still a punching bag!
Mungu Ibariki...
Naibu Katibu Mkuu UVCCM Tanzania Bara na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC) Ndugu Galila Wabanh'u
ameibuka na kuzungumzia matamshi ya hivi karibuni yaliyotolewa na Mbunge wa jimbo la...
Mara baada ya Mh Agustino Mrema kuteuliwa wadhifa wa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Parole, alianza kazi kwa mbwembwe nyingi.
Kwa hamasa kubwa aliyokuwa nayo na wadhifa huo mara kwa mara alijikuta...
NDEGE nyingine mbili kubwa zilizonunuliwa na serikali ili kuendelea kuboresha Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) zitawasili nchini Desemba, mwaka huu. Hayo yalibainishwa na Waziri wa Ujenzi...
Akiwa viwanja wa Bunge nchini Kenya mbunge wa Jimbo ya Starehe Charles Njagua maarufu Kama Jaguar amekamatwa na jeshi la polisi nchini humu
Stareherles Njagua Kanyi has been arrested following...
Wanabodi habari...
Kutokana na adha wanazopata wazazi, wahitimu au hata walimu mbalimbali kufunga safari kutoka makwao sehemu mbalimbali.
Just imagine mtu anatoka BUKOBA Au KIGOMA anaenda hadi...
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amemtaka Waziri mkuu kutoa tamko kuhusu video inayosambaa mitandaoni ikimwonyesha mbunge wa Kenya akiwataka Watanza walioko Kenye kuondoka ndani...
TAASISI ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (Tari) imeanza mkakati wa kupunguza uagizaji wa mafuta ya kula kutoka nje ya nchi baada ya kuanza kuzalisha mbegu za alizeti zilizothibitishwa ubora kwa...
Ni ujinga na unafiki uliopitiliza kumlaumu RC huyu anaelallamikiwa na wakati huo huo ukawa mtetezi wa yule anaemlinda.
Tatizo la msingi si RC huyu, bali ni yule aliemuweka hapo na kujifanya...
MAJADILIANO ya Mradi wa Bomba la Mafuta kutoka Uganda hadi Tanga, yanaendelea huku serikali ikisema kasi yake ni kubwa, ambayo ikilinganishwa na nchi nyingine zilizowahi kufanya mchakato kama huo...
TANZIA:
Chama cha ACT Wazalendo kinasikitika kutangaza kifo cha Diwani wake wa viti maalum katika Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo Ndg. Tumaini Bigilimana ambacho kimetokea leo tarehe 03 Juni...
Nimemsikia Mwenyekiti wa bodi ya NEMC akisema watajenga ofisi eneo la mradi! Napenda kusema huu utakuwa ufisadi wa hali ya juu kwani ofisi hiyo haitakuwa na kazi bali kula fedha za walipa kodi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.