scatter
JF-Expert Member
- Feb 15, 2013
- 1,667
- 925
Mpaka kufikia leo mwezi huu kusema ukweli sisi watu wajimboni kwake hatumuelewi anafanya nini zaidi ya kuchafua hali ya utulivu nchini kwa siasa za kizandiki na unafiki wa hali ya juu huku akijua sisi ndio tulio kuweka hapo.
Ndugu mbunge wetu kaa utambue hatutakua na wewe kama ukiendelea kukwamisha mipango ya maendeleo bila ya sababu au hoja za msingi.
Tutakuadhibu kama wananchi wavujao jasho kwa kwa kutokukupa kura la sivyo jimboni hapatotawalika
Tunakupenda sana.
Ndugu mbunge wetu kaa utambue hatutakua na wewe kama ukiendelea kukwamisha mipango ya maendeleo bila ya sababu au hoja za msingi.
Tutakuadhibu kama wananchi wavujao jasho kwa kwa kutokukupa kura la sivyo jimboni hapatotawalika
Tunakupenda sana.