Wakuu naomba ufafanuzi kuhusu haya magari tunayoagiza kutoka Japan!
Unakuta gari ya mwaka 2006 imetembea kilomita 134,000 Je, hii ni sawa? Nimeangalia Noah nikakutana na mambo nisiyoyaelewa, kwa...
Wapendwa katika kupambana na maisha ubunifu ni muhimu sana. Itumie akili yako katika kubuni mipango ya maendeleo. Akili haitakiwi kukaa bila kuwaza kitu hivyo usipowaza ya maana utawaza ya upuuzi...
Wajuzi wa magari naomba muongozo hapo kati ya hizo gari mbili kwa kuzingatia;
A, comfortability
B, long safari
C, Spareparts availability & reasonable price
D, Durability.
Habari!
Kuna gari nimeanza kulitumia nina mwezi sasa (mercdes benz c 220, 1995 model ) shida ipo kwenye reverse transmission.
Nikiwa kwenye muinuko kidogo linagoma kurudi nyuma, ni kama...
Nissan and NASA are aiming to conquer earth and space with their own fleet of self-driving cars.
The two companies have entered a five-year deal that will eventually produce a line of...
Wakuu nimevutiwa sana na hizi gari hasa yenye CC tajwa hapo juu, je ulaji wake wa mafuta ukoje, na upatikanaji wa spea na ukoje? technical problems, if any?
thanks
cc: Zanzibar Spices
Sasa...
Niko Bongo. Nissan yangu xtrail inahitaji services ya nguvu. Nimesikia Nairobi waweza pata spare parts za nissan xtrail kwa bei nzuri, mtaa sijui unaitwa Dar es salaam kama sikosei. How...
Shirika la viwango Tanzania TBS wametoa ilani kwa watanzania kuwa makini na oil hizi-ambazo ziko chini ya kiwango hivyo ni hatari kwenye magari yenu:
1. Motor oil ( Super plus SAE40)
2. Diesel...
Habari ya siku ya leo na poleni kwa misukosuko ya kuumaliza mwezi na maandalizi ya mwezi mpya.
Nina gari yangu hiyo katika picha, ni Honda CRV model ya mwaka 1995, engine yake bado iko vizuri...
Habari zenu, kwa yoyote anayejua bei za pikipiki coz najua maduka yalipo ila naamini kuna wataalamu ndio maana ikawepo JamiiForums! Bei ya wave 110i dukani ni bei gani? Na bei ya used ni bei gani?
Hiyo ni kwa mujibu wa TRA. Sasa katika bunge la bajeti Waziri wa Fedha alisema amewaondolea kodi waendesha pikipiki. Matokeo yake hata Baiskeli wanapaswa kulipa kodi. Kinachonishangaza ni suala la...
The inevitable has happened.
There are only so many possible permutations of a metal box on four wheels designed to go fast over any terrain, and from the Jeep Wrangler to the Range Rover, all of...
A pure, rendered science-fiction; heres the Mercedes-Benzs environment-friendly, modern and cool SUV, the Ener-G-Force which has been described to be the vision of an off-roader that, while...
Hali zenu JF!
Yaani nmekua napata usumbufu kweli.
Huyu fundi muda mwingi ananidanganya sana. Kitabu nlipewa cha lugha ya Japanes....nakua nashindwa kuelewa vizuri.
Naomba alie nacho nikakipigishe...
The 747-8 keeps its predecessor's humped shape, but is longer to allow for more seats and cargo space
US company hopes longer, more fuel efficient update of its emblematic jumbo jet, will...
Wana JF
Humu ndani naamini kuna wataalam wa magari.
naomba msaada wa kujua tofauti kati ya model mbili za Toyota Harrier
kuna model code TA-ACU15W na ACU15W.
Nini tofauti zake na ipi ni bora...
LimousinesWorld, a company building luxury limousines and executive cars for more than 30 years, has now made available the new Mercedes limousine, which enjoys a striking custom-designed interior...
We don't know who is to blame for leaking these scrumdidlyumptious images of the 2009 Mercedes-Benz SL, but we're glad they did. These 34 high-res images give us a sneak peek at what Mercedes has...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.