Wana JF
Humu ndani naamini kuna wataalam wa magari.
naomba msaada wa kujua tofauti kati ya model mbili za Toyota Harrier
kuna model code TA-ACU15W na ACU15W.
Nini tofauti zake na ipi ni bora zaidi?
shukrani
mimi ni mtaalam wa harrier Jet fighter. ni ndege ya kisasa ya kivita ambayo haihitaji run way ku take off. ina nyanyuka kama helcopter then ina change system na kuwa na power kama supper fighet jet zingine kama H35
mimi ni mtaalam wa harrier Jet fighter. ni ndege ya kisasa ya kivita ambayo haihitaji run way ku take off. ina nyanyuka kama helcopter then ina change system na kuwa na power kama supper fighet jet zingine kama H35
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.