Habari Wakuu,
Nina jamaa yangu anahitaji gari, bajeti yake ni Mil 15, na anapenda sana sana RAV 4 Je anaweza kupata wapi? kuagiza au showroom za ukweli wapi?
Au mbadala wa hiyo Gari kwa bajeti...
wakuu habari zenu,
nataka kuagiza suzuki carry kadhaa kwa ajili ya biashara, sasa kwa kuwa mm sina uzoefu na aina hizi za magari naomba mtu anipe kidogo elimu kwenye aina...
TAHADHARI!
Kama unaendesha Gari mida ya Usiku, na ghafla ukaona Mayai (Eggs) yamerushwa na kupiga kwenye KiOO cha Gari yako cha mbele, tafadhari sana USISIMAME, Usiwashe WIPER na wala usimwage...
Wadau kila,nikiangalia hizi gari naona zina ufanano wa kiasi kikubwa, utofauti upo mdogo kwenye show ya mbele na dash board Tu,
je Ni nini hasa tofauti ya hizi gari mbili?
Nawasilisha
Wana jamii nauliza tu...
Nina tatizo na KM/H kwenye vyombo vyetu vye usafiri,Naomba waandisi mnisaidie
Mfano pikipiki ikiwa 80km/h na Landcruser V8 ikawa on the same speed,
Je wanafika ponti B...
UFANYE NINI TAIRI LIKIBASTI?
Kuna hatua sita za kufuata ndani ya dakika mbili tangu kupasuka tairi ambazo unapaswa kuzifuata.
1. USIHAMAKI, tulia kwanza kwa sababu mara baada ya kupasuka tairi...
Wadau habari, Naomba kujuzwa kati ya gari hizi mbili ipi itanifaa kwa matumizi yangu ya kwaida. Kwenda shambani ( nyia sio nzuri sana) na kwenda kazini. Hasa vigezo, upatikanaji wa spare...
Habari wanaJF,
Nimenunua gari aina ya Nissan Terrano, naomba kujua kwa mtu anayefahamu garage au service center yenye mafundi wazuri kwa magari ya Nissan. Mafundi wengi wako vizuri kwa Toyota, ila...
Toyota kutambulisha gari lilotengenezwa kwa mbao na teknolojia ya kiutamaduni ya nchini Japan isiyohusisha utumiaji wa misumari wala nati katika kuzishikilia mbao hizo.
Teknolojia hii imetokea...
Pikipiki hutegemewa sana kwa uchukuzi Burundi.
Burundi imepiga marufuku pikipiki kuingia katikati mwa mji mkuu Bujumbura katika juhudi za kujaribu kupunguza mashambulio.
Pikipiki hutumiwa sana...
Mkurugenzi wa Maendeleo ya Biashara wa Twiga Bancorp, Solomon Haule akimkabidhi funguo wa bajaji Mwenyekiti wa kikundi cha Chama cha Madereva wa Bajaji cha Mikocheni kwa Kairuki (Chamabavi) John...
Wakuu Salaam,yoyote mwenye uelewa juu ya gari za kampuni ya Honda hasa hizi SUV kwa matumizi ya barabara zetu za Tanzania/Off Roads,durability yake,upatikanaji wa spare parts zake,services yake na...
Heri ya Mwaka Mpya 2016, WanaJF
Tafadhali naomba mnielekeze Fundi Bingwa Wa Gari za Aina ya Nissan Xtrail. Nipo Dar es Salaam
Tafadhali naomba mniwekee hapa Namba zao Tafadhali. Nitawashukuru...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.