Habari za mchana madaktari, wabobezi pamoja, watalaam na wajuzi juu ya masuala ya afya ya watu.
Ninaomba ushauri juu ya tatizo la mtu ambaye ana shida hii ya kupata mtoto.
Hapo awali alienda...
Jaman vijana wezangu mm nilikuwa napiga sana masterbation au kujichua sasa misuli ya uume wangu umelegea sana na ombeni ushahuri kwa yoyote anaejua dawa ili nilejee kama awali
Daktari Feki Afanya Upasuaji Wagonjwa 9 na Kufariki Mmoja, Apewa Ofa ya Kujiendeleza Kielimu
KENYA: Kamati ya maswala ya afya nchini Kenya imependekeza daktari feki aliyekamatwa nchini humo...
Wanajamvi hodi humu ndani...Nina tatizo ( nahisi) kwa maana nikikutana mpenzi wangu siwezi kupiga bao mbili naomba msaada wa mawazo non nifanye jamni katika hili ? Naomba wajuzi wa mambo mnijuze...
Habari za leo wana jf nimekuja kwenu tena nikiamini nitapata msaada au njia ya kupata ufumbuzi wa tatizo langu.
Mimi ni binti wa miaka 25 nina tatizo linanisumbua mwaka wa tano sasa kila...
Msaada wenu wakuu,
Kwa hapa Dar wapi kuna machine za kufanyia kipimo cha CT scan na wanafanya kwa bei nafuu? Nataka nimpeleke wife akapime kichwa.
Ningependa kujua gharama kabla hatujaenda...
Heshima zenu wakuu,
Nimekua nikiona watu wengi sana wakipotosha uma kua kula chipsi yai hupelekea kupungukiwa nguvu za kiume.
Maranyingi watu wamekua wakitumia mitandao ya kijamii kupotosha uma...
Dokta naomba kusaidiwa,
Nimetumia antibiotic mwezi huu naona siku zangu zinapitiliza siingii kwenye mzunguko wangu wa mwezi kama mwanamke. Je, inaweza ikawa ni side effect ya dawa niliyotumia...
Habari wadau..? Mim ninamtoto ametimiza mwaka siku chache zilizopita, mwanangu anatatizo la kugoma kula, najua mtasema ni kawaida ila I wish mngepata nafasi ya kumuona maana wapo waliosema ni...
PARIS: People who shave, wax, or trim their pubic hair are at higher risk of sexually-transmitted infections (STIs), but less likely to get lice, a study suggested on Tuesday.
A survey of more...
Kama kinavo jieleza kichwa cha habari hapo juu.
Elimu ya uzazi wa mpango imenipita mbali hivyo upo uwezekano nikaaharibu future ya maisha yangu.
Kwa mwenye utaalam anielimishe, nisije kurudia...
wapendwa,hivi kama mwanamke amejifungua kwa operation,anaruhusiwa kujamiiana baada ya muda gani? Coz,kuna mshono tumboni, na hata kama mshono utakuwa umepona,kutabaki na kovu! Je,hii haitaathiri...
Habari wakuu;
Jamani mimi naomba kujuzwa kwamba hivi mtu akifanya mapenzi halafu akakaa wiki moja,je akienda hospitali kupima je vipimo vitaonesha kuwa alifanya mapenzi?
Naomba kujuzwa maana mimi...
Yoga Pranayama Cures 140 Diseases - Swami Ramdev Ji on Indian TV Channels
Creating a "Disease Free Society - Medicines Free World"
Swami Ram Dev Ji has been daily declaring on Indian TV...
Wadau habarini za jioni...!!!
wapendwa nakuja tena mbele yenu, nina mgonjwa wangu amepatwa na tatizo la stroke na yupo hospitali kwa matibabu ila tangu alazwe sasa ana wiki moja isipokuwa...
Habari wanaJF, nimeanzisha website ya mambo ya afya ambayo nipo wa mtaaalam wa mambo ya afya kwaajiri ya articles . Karibuni sana kwenye website hii kwa maoni zaidi. Nipo bado kwenye...
FAIDA ZA TANGO
1. Kuzuia kisukari, kuboresha mfumo wa damu na kuondoa kolesteroli mwilini.
2. Chanzo kikubwa cha Vitamin B.
3. Kusaidia kutunza ngozi.
4. Kuongeza maji mwilini.
5. Kukata hangover...
Habari wakuu naomba tutumie uzi huu kushaurina dawa mbalimbali zinazosaidia kupambana na tatizo la chunusi iwe umeshwahai kuitumia ikakusaidia au kuna mtu unamfahamu kaitumia ikamsaidia naanza...
Mara nyingi inakutokea baada ya kuugua homa mfano malaria kali, umelala kitandani siku mbili, siku ya kwanza ulishindwa kula kabisa, baada ya kutumia dawa ulitoka jasho sana, na sasa unasikia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.