Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!
'Viagra effect' from a daily glass of pomegranate juice Boost: Pomegranate juice has surprising attributes kaa mbali na viagra tumia hii juisi na mambo yatakuwa shwari ndani ya wiki...
13 Reactions
115 Replies
37K Views
33 HUMAN BODY FACTS ABOUT BRAIN PARTS AND FUNCTIONS Nayden Kostov | December 10, 2014 | Human body facts, Interesting Facts | No Comments FacebookTwitterGoogle+LinkedInPinterestShare...
1 Reactions
0 Replies
626 Views
  • Redirect
Mara nyingi tumekuwa tukisikia watu (hasa wanaume) wakitakiwa kukaa mbali na baridi kuwaepusha wasipatwe na ugonjwa wa ngiri. Hivi kuna uhusiano gani kati ya ugonjwa wa ngiri (hernia) na baridi...
1 Reactions
Replies
Views
Jinsi ya kuondokana na janga hatari la ugonjwa wa figo: 1.Usichelewe kwenda HAJA. Kutunza mkojo kweye kibofu chako kwa muda mrefu ni wazo baya. Kibofu kikijaa kinaweza kusababisha uharibifu...
3 Reactions
5 Replies
2K Views
Hellooo,hivi ni nini hasa husababisha mtoto kulia sana wakati wa usiku?
2 Reactions
10 Replies
7K Views
Kwanza nianze kwa kuwasalimu wadau wote wa jf doctor na kuwashukuru kwa mawazo yenu na ushauri ambao umewafungua wengi. Leo tena jamvini nakuja na swali hili na nahitaji kufahamishwa jamani...
1 Reactions
8 Replies
8K Views
Nimegoogle sana,nimefikiria sana,nimeangalia michoro sana,bado sijapata jibu. Nataka nifahamu,chakula tunachokula,au kinywaji tunachokunywa,inakuwaje kuwaje mpaka kinafikia sehemu za siri(za -me...
0 Reactions
53 Replies
6K Views
NAOMBA MSAADA JE LINK GANI NITUMIE KUDOWNLOAD KITABU HIKI BURE
0 Reactions
1 Replies
707 Views
Ndugu zangu tuwe makini Condom ni biashara tu na wala hazizuii UKIMWI kwa asilimia (%) zote. ukitaka kuukwepa UKIMWI: 1. Kuwa mwaminifu kwa mkeo/mumeo AU 2. Acha ngono kabisa.
2 Reactions
35 Replies
4K Views
Ndugu wanajamii forum baba yangu alikuwa afanyiwe upasuaji mdogo kwenye ziwa kulikuwa kuna uvimbe alipochomwa sindano ya nusu kaputi mapigo ya moyo yakasimama ghafla na akapoteza fahamu toka...
3 Reactions
114 Replies
15K Views
Mtoto wangu mdogo juzi alidondoka ktk tiles akavunja meno umri wake ni miaka 6 je inawezekana kusaidiwa; au Itaota yenyewe? Naomba mawazo yenu.
0 Reactions
1 Replies
538 Views
Mdogo wangu wa ni wa kike ana umri wa miaka 25 na ana mtoto mmoja mwenye miaka 4. Amekua akilalamika maumivu ya kitovu kwa muda mrefu, nimeshangaa juzi kuona anavuja damu kutoka kwenye kitovu...
1 Reactions
6 Replies
4K Views
Mimi na tatizo la kupumua haraka haraka alafu kama natoa sauti yaani kama mtu amekaa karibu yangu anaskia kero. Tatizo ni nini hasaaa?
2 Reactions
10 Replies
4K Views
Haiwezekani tukae katika jf halafu tusilijadili kwa mapana jambo hili. Tezi dume matibabu yake yakoje. kwani umeonekaka kama ungonjwa tishio kwa wanaume naomba wataalam waje watupe namna ya...
3 Reactions
7 Replies
1K Views
wazima humu ndgu? kama title inavyojieleza, mgonjwa wangu kaambiwa ana kivuli upande mmoja wa moyo ambapo doctor anadai ugonjwa huo ni TB ya moyo. kuna zahanati moja hv jina naihifadhi ambayo ni...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Poleni na majukumu, Naombeni ni wasilishe tatzo langu,uso wangu umekua kama una mabaka mabaka kama mmba hivi hasa hasa sehemu za mashavu kuzunguka mpk kwenye kidevu .Hii hali inanichukiza sana...
0 Reactions
1 Replies
914 Views
Hv nni sababu ya mkono kuwa membamba Sana nawakati wewe nikijana Mkubwa may be una 26yrs au 30yrs?
0 Reactions
22 Replies
5K Views
Wakuu habari za mida hii,kama mtiakumbuka kuna wakati nilileta lalamiko kuhusu huyu wife kuninyima papuchi wakati mimba ikiwa changa,sasa bora hilo,sa ivi ananisimbua sana,kwanza hataki kukaa na...
6 Reactions
87 Replies
8K Views
  • Redirect
Habarini wana jamvi, Kama kichwa kinavoeleza ni kwamba niling'oa jino siku ya Ijumaa lakini napata maumivu makali sana. Japokuwa kuna dawa ya kukausha na kusafishia mdomo nilipewa lakini...
0 Reactions
Replies
Views
Back
Top Bottom