Habarini wana JF
Kwanza kabisa natambua kuwa Tiba yoyote ile ni imani lakini sio imani tuu lazima na tiba ifanye kaZi
Kwasasa hasa hapa nchini kwetu Tanzania kumekuwa na Tiba asilia nyingi...
Habari zenu wadau,
Nina rafiki anatatizo la warts sehemu za siri, Mwanaume, na anaomba msaada kwa anaejua Dokta mzuri wa kutibu hili tatizo, yeye anaishi Dar.
Mungu awabariki.
Edmark tz(approved by TFDA)
Splina Liquid Chlorophyll - possesses 3 main
functions; cleansing, balancing, and nourishing.
These enable us to have a stronger body and
better health.
1. Cleansing -...
Nawasalimu wanajamvi me ni mama Wa mtoto mmoja (nimeolewa) tatizo linalo nisumbua ni kuwa mkavu sana wakati Wa tendo la ndoa
Sio kwamba Mume wangu aniandai apana! ananiandaa vizuri tu ila nakua...
Hivi ni kweli haya Madawa ya Kupunguza unene ama Uzito ni kweli yanafanya kazi ama ni utapeli tu
Hawa jamaa wanafanya kuwaibia watu maana siku izi kiukweli makampuni na maduka yanayojihusisha na...
Habari doctor, kuna kina dada huwa tunawaona, wanakuwa soft tu ila wakibeba ujauzito wanakuwa na chunusi nyingi usoni.
Je kitaalam nini kinasababisha? Tiba yake ni nini?
Habari za majuku nimebahatika kupata mtoto wa kiume ck ya 21-11-2015 leo anatimiza wiki ya 3 tokea azaliwe amekuwa akipatwa na tatizo la mafuta kumkataa mara ya kwanza alikuwa anatumia dinamarious...
Hello members.
Ninatoa ushauri kuhusu kupunguza uzito wa mwili na mimi mwenyewe nikiwa mfano kwa jinsi nilivyoweza kupunguza kilo 45 ndani ya mwaka mmoja kwa kufanya mazoezi na kula mlo sahihi...
Habarini wana JF
Kwanza kabisa natambua kuwa Tiba yoyote ile ni imani lakini sio imani tuu lazima na tiba ifanye kaZi
Kwasasa hasa hapa nchini kwetu Tanzania kumekuwa na Tiba asilia nyingi...
Sio watu wote wanaopata muda wa kufanya mazoezi
Wengine wapo busy ma ofisini kwao
Njia rahisi ya kutoa kitambi kwa usalama bila kuudhuru mwili ni kutumia product zetu za mimea na matunda...
Ninatatizo la Bp ya kupanda na natumia dawa za presha. Tatizo linalonisumbua ni uwezo wa kusikia umepungua na uwezo wa kunusa nao umepungua vilevile nasikia mvumo wa kelele kwenye sikio naombeni...
Habari zenu waungwana,
Siku chache zilizopita niliugegeda mchepuko mmoja hivi,so baada ya siku 4 nikajikuta mbele ya kichwa cha Dushelele kuna ute kama usaa, pia nikikojoa mkojo dushe linauma...
A new report from the International Agency for Research on Cancer (IARC ) Explores the global burden of cancer, which is poised to become the leading cause of death worldwide by 2010. World Health...
Anasumbuliwa na tumbo baada ya kujalibu kutoa mimba ya mwezi mmoja kwa kutumia dawa ambazo mbili unameza nyingine unaweka chini ya uke karibu na kizazi. Afanyaje?
Wanaukumbi kwanza nawasalimu nyinyi nyote mtakaosoma post yangu hii.Nirudi kwenye mada, ninaye mpenzi ambaye tumedumu naye karibu mwezi mmoja na nusu yeye anakaa kwake amepanga nyumba na mimi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.