Kwa kawaida wanawake matiti hutofautiana kwa ukubwa ingawa Sio sana kuonekana,
Lakini kuna tofauti Hiyo huzidi mfano titi moja limesimama lingine kandambili kabisa, je ni tatizo gani? Msaada plz
Cucumber is VERY Alkaline.
Cucumber Juice is EXTREMELY good for your Hair, Skin and Nails. It Really is True.
Cucumber Juice is High In Potassium. Cucumber Juice can Lower Your Blood Pressure...
Salama waungwana?
Kwa anaefahamu wapi katika jiji la Dar es Salaam anapatikana daktari mtaalamu wa afya ya uzazi na magonjwa ya wanaume.
Nahitaji daktari wa kisayansi sio wa tiba za kienyeji au...
AFRIMEC kupitia huduma ya Mydoctor inazid kua karibu nawe baada ya kupata response kubwa kutoka kwa wateja wetu nasi tunazid kua karibu nawe kwa kukuwesha wewe mwenye sim isiyo na internet kuweza...
Allah says: "Eat and drink, but be not excessive. Indeed, He does not like those who commit excess." [Quran Surah al-A`raf: 31]-
Some scholars have commented on this verse, saying: Allah has...
Wakuu eti ni kwa nini 80% ya wanywa bia wanavitambi sana wakati walevi wenzao wanaokunywa gongo 80% ya wanaokunywa gongo wamekondeana mpaka wanatisha?
Wakuu kwa nini kuna tofauti hii?
Nina jamaa yangu mmoja anajali usafi Sana Ila anasumbulia na kifua lakin sasa inzi wanamfuatafuata but jamaa anajipenda Sana na Kila siku hakosi perfume kwenye nguo zake je hizi Ni dalili za...
Habari waungwana wanaJF,
1. Nataka kujua kuna dalili zipi zinazomjulisha mjamzito kwamba mtoto ameshageuka kichwa chini?
2. Nina ujauzito wa 34 weeks ila nashinda na kopo ndani la kukojolea...
Habari za weekend wana JF,
Ni hivi kuna hali imenitoka pindi ntakapofaya mapenzi kwa kutumia kondom huwa nachelewa sana kumwaga shahawa ila nisipotumia Kinga dakika 15 tu nakojoa ila ikivaa...
Wanajamvi
Naomben msaada kama kuna mtu anasafiri kutoka Mwanza kuja Morogoro au Dar, nimuelekeze anichukulie dawa njian pale Lunele kabla haujafika Hungumalwa.
Nasumbuliwa na jicho linaniuma pia...
Hebu jamani kama kuna yeyote anajua kuhusu vidonda veupe vinavyotokeaa kwenye fizi au ndani ya mdomo ambavyo kitaalamu vinaitwa CANKER SORES na tiba yake..
Wataalam wa humu JF napenda kuomba msaada wenu, kuna mwanangu anasumbuliwa na ugonjwa wa kuota sugu katika unyayo wa mguu na hupata shida wakati wa kutembea akanyagapo ardhini hapo mahali hapo...
Habarini wana JF
Kwanza kabisa natambua kuwa Tiba yoyote ile ni imani lakini sio imani tuu lazima na tiba ifanye kaZi
Kwasasa hasa hapa nchini kwetu Tanzania kumekuwa na Tiba asilia nyingi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.