Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Wadau habari ya mapambano,naomba kujua hali ya corona ipo vp hapo mitaa yenu, home kwangu familia nzima imepigwa na mafua makali sana. Na kwa upande wa wife dalili ndo kama zile za awamu ilee...
1 Reactions
14 Replies
411 Views
Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amesema kuwa Serikali imeondoa ulazima wa kuvaa barakoa isipokuwa pale inapobidi, mfano kwa wale wenye magojwa ya mfumo wa hewa na kwenye mikusanyiko ya ndani...
0 Reactions
3 Replies
927 Views
Kwa mara ya kwanza duniani, nchi ya China imeidhinisha matumizi ya chanjo ya kupambana na ugonjwa wa COVID-19 inayotolewa kwa njia ya kuvuta kiasi kidogo cha dozi kupitia pua. Chanjo hiyo...
0 Reactions
2 Replies
405 Views
Nina flue, napiga chafya, nahohoa, naahirisha mwili unauma na kuchoka pia sina hamu yakula ila sina home. Je inaweza kuwa ni Codid? Nianza dose ya Azuma. Naomba jukwaa linishauri
0 Reactions
2 Replies
513 Views
Leo nimesikia watu wenye damu group O hawasumbuliwi sana na Corona. Hivi damu group hili ina nini special, mambo mengi nasikia wenye group wanapeta hata magonjwa ya kawaida.
3 Reactions
178 Replies
18K Views
Wadau na Wakuu heshima yenu, Naomba Kuuliza maswali ya Mtu nisielewa Kuhusu Afya na Kirusi, Naomba Msinicheke... Nahitaji Elimu wandugu. Naomba Kuuliza kwa wataalam: Hivi Kama Mtu hajachanjwa...
0 Reactions
3 Replies
470 Views
Wataalamu wetu wanashauri tupate chanjo ya Covid, lakini waliojiongeza na kutumia vitamin B12 pamoja na chanjo waliweza kupambana na maambukizi ya Covid na kupona haraka. Kuna wakati Vitamin B12...
5 Reactions
6 Replies
769 Views
Guys, Nimepata Choja ya covid19 week ya kwanza tu ya utojia, Hadi leo sijapata message ya kupata cheti, Naona wanaona choma hivi karibu wanapata message zina link ya cheti, Njia gani naweza...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Upotoshaji mkubwa kuhusu chanjo ya COVID-19 unaonyesha jinsi jamii ilivyo na uelewa mdogo kuhusu chanjo zote kwa ujumla. Hii jamii isiyojua pia inapotoshwa na wenzao wasiojua. Unakuta mtu ame...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Kwani ukichomwa sindano, kinachobakia mwilini ni sindano yenyewe au ni dawa? Mbona sindano ya Maria Carey imeingia mwilini na haikutoka? Anafanya hivyo ili iweje? Ili mimi na wewe tuende kisha...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Tumeona kati ya watu 200 million walioambukizwa na kuugua ugonjwa wa COVID-19, ni watu milioni 4 tu wamekufa. Ina maana zaidi ya million 190 wamepona bila kuwa na na specific treatment ya ugonjwa...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Wataalamu wa afya wanaeleza kuwa unapopata Chanjo za COVID-19 hazidhibiti mwili kutopata #COVID19 kwa mara nyingine. Chanjo zinaepusha mwili kupata homa kali na vifo vitokanavyo na COVID-19...
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Ufanyaji wa mazoezi kila siku unapunguza hatari ya kupata virusi vya COVID-19 au kupata homa kali ya mapafu. Mazoezi yanaimarisha kinga mwili na kuondoa sumu ambazo zinausaidia mwili kupambana...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Upotoshaji mkubwa kuhusu chanjo ya COVID-19 unaonyesha jinsi jamii ilivyo na uelewa mdogo kuhusu chanjo zote kwa ujumla. Hii jamii isiyojua pia inapotoshwa na wenzao wasiojua. Unakuta mtu ame...
3 Reactions
33 Replies
3K Views
Wakuu nahitaji kuchanja lakini sijui hata napata wapi hio huduma naombeni muongozo wenu
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Baada ya kuchomwa chanjo ya COVID-19 Jana mida ya saa5 asubuhi, ilipofika mida ya saa12 jioni nikaanza kujisikia vibaya yaani homa ilinivamia ghafla usiku mzima nilikuwa najisikia kichwa hakipo...
1 Reactions
21 Replies
2K Views
“You can be wrong if you’re dealing with information that is evolving.” The data about covid-19 and the vaccines seems to change nearly every day; for those of us with potentially confounding...
2 Reactions
4 Replies
623 Views
Naomba tu kuelimishwa maana halisi ya " booster vaccine" kwa wale waliochanjwa Astra zeneca Ahsante kwa ushirikiano utakaoutoa. Mungu ni mwema wakati wote!
0 Reactions
5 Replies
651 Views
NJIA YA KUJIKINGA NA MLIPUKO WA VIRUSI VYA HOMA YA MAPAFU AKA CORONAVIRUS 1) Njia ya Kwanza Kaa nyumbani hiyo ndio njia kubwa ya kujikinga na huo Mlipuko wa mambukiz ya homa ya Mapafu Ukikaa...
6 Reactions
49 Replies
10K Views
Habari 👋🏾 Kumekuwa na hali ya watu wengi kupuuza na kutokuchukua tahadhari ya ugonjwa wa UVIKO na wengine wakienda mbali kudai hakuna ugonjwa kama huo. Napenda kuwaambia COVID-19 deadly Delta...
23 Reactions
156 Replies
34K Views
Back
Top Bottom