Red Scorpion
JF-Expert Member
- Feb 1, 2012
- 5,736
- 4,252
we kweli zuzu,siku nyingine usipost vichekesho vya zamani na ambavyo havina mashiko.
we kweli zuzu,siku nyingine usipost vichekesho vya zamani na ambavyo havina mashiko.
sio vizuri kukatishana tamaa humu JF na kutoleana maneno ya kumkatisha mtu tamaa eti VICHEKESHO VYA ZAMANI NA AMBAVYO HAVINA MASHIKO. vichekesho ni vichekesho hata viwe vya zamani kiasi gani bado ni vichekesho sasa hayo mashiko unayoyataka wewe hayapo kwenye jukwaa hili, sio vizuri kabisa kumbuka kuwa JF kila siku kuna new registered members
we kweli zuzu,siku nyingine usipost vichekesho vya zamani na ambavyo havina mashiko.
YES...co wote wa zamani!!Hiyo nimeipenda sna sio wote wa zaman
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
ndo zuzu eti, hakumbuki sawasawa, ha ha haaaaaahkwel hlo zuzu hatar halafu inaonesha halina kumbukumbu
hajamkatisha tamaa mkuu amem-joke tu, na hapa ndo mahali pake
Zuzu m1 kapita sehemu fulani akawakuta watoto wanacheza akawadanganya;
'Nyie nendeni kule kunachakula kinagaiwa' Wale watoto wakatimua mbioooo.
Zuzu akajisemea moyoni, "mbona wanakimbia sana labda kunachakula kweli"
Nae mbio!
sio vizuri kukatishana tamaa humu JF na kutoleana maneno ya kumkatisha mtu tamaa eti VICHEKESHO VYA ZAMANI NA AMBAVYO HAVINA MASHIKO. vichekesho ni vichekesho hata viwe vya zamani kiasi gani bado ni vichekesho sasa hayo mashiko unayoyataka wewe hayapo kwenye jukwaa hili, sio vizuri kabisa kumbuka kuwa JF kila siku kuna new registered members