Baadae kwenye kipindi cha sayansi mwalimu akawaambia wanafunzi wachore picha ya barafu. Zuzu kwa hakuwa anaweza kuchora picha ya barafu, akapiga hesabu akaamua kulikojolea daftari. Mwalimu alipopita kukagua akakuta daftari ya zuzu imelowa. Mwalimu: we zuzu mbona daftari lako limelowa.? Zuzu: itakuwa barafu niliyochora imeyayuka!
Baadae kwenye kipindi cha sayansi mwalimu akawaambia wanafunzi wachore picha ya barafu. Zuzu kwa hakuwa anaweza kuchora picha ya barafu, akapiga hesabu akaamua kulikojolea daftari. Mwalimu alipopita kukagua akakuta daftari ya zuzu imelowa. Mwalimu: we zuzu mbona daftari lako limelowa.? Zuzu: itakuwa barafu niliyochora imeyayuka!
Twehe twehe!
Baadae kwenye kipindi cha sayansi mwalimu akawaambia wanafunzi wachore picha ya barafu. Zuzu kwa hakuwa anaweza kuchora picha ya barafu, akapiga hesabu akaamua kulikojolea daftari. Mwalimu alipopita kukagua akakuta daftari ya zuzu imelowa. Mwalimu: we zuzu mbona daftari lako limelowa.? Zuzu: itakuwa barafu niliyochora imeyayuka!