Zungu kama mwenyekiti wa bunge

Zungu kama mwenyekiti wa bunge

Mi pia hupendezwa na uongozi wake kuliko wale speakers wa Bunge
 
Anafaa kuwa Spika ila apunguze usela!

Na kweli Jamaa usela umemzidi sijui ndio kukulia kariakoo......Ila pengine huo usela wake ndio unamfanya tumpende akiwa pale mbele,Jamaa namkubali kiaina ila ndio CCM tena.
 
Yah ni ccm lakini kwa kweli angalao anapokaa yeye pale anakuwa fair kiasi anaweka mambo mengi sawa.
 
Ana uwezo na akili nzuri kuliko Speaker na makamu wake. Big up Zungu!
 
Na kweli Jamaa usela umemzidi sijui ndio kukulia kariakoo......Ila pengine huo usela wake ndio unamfanya tumpende akiwa pale mbele,Jamaa namkubali kiaina ila ndio CCM tena.

Yule speaker hawezi kazi ni mtu wa kuanzisha mavurugu na vijembe tu! Ametudhihirishia kuwa wanawake hawawezi hata wakiwezeshwa! Lijamaa(Zungu) likikaa pale linatokelezea kinomanoma, huwa napenda sana uendeshaji wake wa vikao! Sijui alikuwaga wapi muda wote achukue nafasi ya Speaker! Wabunge wote wanamheshimu, si wa CCM wala UKAWA, jamaa anajua kubalance na kudhibiti mihemko ya wabunge!
 
Zungu ni kiongozi wa kuzaliwa! ameweza sana kuongoza bunge vema sana! na kila akipata nafasi ya kuchangia huwa hamumunyi maneno katika kutete haki ya wananchi wa Dar es Salaam... Ameweza sana kuikomalia Issue ya UDA, Maji na Kigamboni Saga! Wabunge wa Dar es salaam nawapongeza sana kuweza kuungana kuwatetea wananchi wao... Kificho nae nilimfagilia sana, aliweza kumzidi Samwel Sitta kwa mbali sana ...
 
leo kambananisha Vick kamata eti anambania asiongee kumbe hata jina kwenye orodha ya wachangiaji hakuandika
 
Ila ni ccm

Yaan watu wa nmna yenu ndo miaka ile nyerere alikuwa anawatoboa macho(msiwe na madhara ktk jamii).

What does being CCM means! Kama humkubali Zungu, basi wewe umekunywa damu iloganda ya Chadema tofauti na wenzio walokunywa "Fresh".
 
Back
Top Bottom