Wabongo tunachekesha kweli!nina uhakika hata hiyo speech umeisikiliza BBC au CNN au etc na hatuchelewi kusema imepandikizwa! Kwa tukio baya hatuna source ingine ya habari zaidi ya CNN, BBC, Aljazeera,AFP, etc, the so called vya kimagharibi na kamwe haiwezekani kila mtu aende physically akajitafutie ukweli wake mwenyewe. Inteligensia yetu iko bize na CHADEMA.Sasa masikini sie kila kitu tunasema wanatudanganya lakini hatuachi kuendelea kuwasikiliza kila kukicha.
The truth remains wao ni reporters, they report to the best of them, kinachobakia "changanya na zako".
Mkuu hii ni BBC au CNN?
The Presidency | Address by His Excellency, President of the Republic of South Africa, Dr. Jacob Zuma on Aspects of South African Foreign Policy at the University of Pretoria
Ungeipitia hii unafikiri ungeandika msg yako hapo juu?
LIBYA REBELS - French mercenary [libyasos] - YouTube