meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,464
- 4,828
Wamenitumia sms mda si mrefu kuwa basala ya kulipia 32000 sasa nitatakiwa kulipia sh 38000 kwa mwezi.wakasisitiza kuwa ongezeko hili ni la VAT.
Mkuu Kivurushi cha Mwanzo hakijapanda Bei kwa kiasi hichoazam 5000 imeongezeka