Sawa mkuu nimeelewa ila shida nyingne ni over heating na mara nying ni baada ya kuingia mtandaoni na huwa ina nialet kuwa iko over heating nitoe betri hii ni kero wengne wanasema ninunue battery nyingne itakuwa cool hii ipoje?? Maana nna ile cooler toka playstore ila ni hamna kitu bado shida