ZoomTanzania Customer Service Mbovu

ZoomTanzania Customer Service Mbovu

baba fey

Member
Joined
Jul 21, 2015
Posts
14
Reaction score
0
ZoomTanzania badilikeni na mjifunze kutoka kwa mitandao mengine. Sijawahi kuona Mtu anabandika tangazo lake linachukua siku kibao ndiyo linakuwa aproved kuwa hewani, Badilikeni na huyo mtu wenu wa huduma kwa wateja mtimuweni maana hafai kabisa hayupo committed na kazi yake.
 
Weka kwanza uwazi kwamba Tangazo lako limechukua muda gani kabla ya kuwa approved?

Maana ukipost tangazo bila kuwa na maelezo ya kuelewa,lazima wakugandishe.
Hembu sema muda gani tangazo limechukua
Mie mwenye nina post huwa natuma na ikichelewa basi wananiambia kwamba kuna vitu nimekosea nirekebishe,na sometimes wanakusaidia kubadilisha ili lieleweke na lisikae kitapeli au kisanii.

Customer care yake ipo vizuri sana tu,bidhaa zangi zote ninauza kupitia zoom bila mashaka yoyote,sasa lazima ujipime na umeanza kuitumia Zoom lini
 
Back
Top Bottom