hellow guys ,, niko najaribu ku apply job kuitia zoom but inagoma kwenye ku match text (security), kila letters zinazokuja naziweka vizuri but inasema incorrect capcha,, sijui tatizo nini au natakiwa jifanyeje,,,, IT PPO PLIIZ na yeyote ambaye kapita hapo
Kuna job nlikuwa naomba wakanzingua hivo , leo imebidi ni call ile namba waloweka nkawaambia zoom inasumbua then wahusika wakanipa direct email ... u can try that