usiweke capital letters tumia small case
Network ya zoom bado haiko sawa.kuna vitu bado havijatulia tangu wafanye mabadiliko ya servers na web design yao january 31 to february 2
vumilia
Hata application letter yako pamoja na CV vitakuwa vichekesho kwa kuwa unaonekana kutokuwa makini!
Hivi kuna mt yeyote aliyewahi itwa kny Interview kupitia hawa watu kwa kutuma cv yake through click to e-mail? Mi naonaga kupotezeanaga muda tu asee.
Hivi kuna mt yeyote aliyewahi itwa kny Interview kupitia hawa watu kwa kutuma cv yake through click to e-mail? Mi naonaga kupotezeanaga muda tu asee.
web page yao inasumbua toka jan 1. Wajirekebishe!