Don Alaba
Senior Member
- Nov 3, 2010
- 167
- 18
Serikali yetu haileweki haki ya Mungu, Zombe leo hii naye anadiriki kusema hakutendewa haki wakati anakamatwa na kupelekwa mahakamani hatimaye gerezani, wakati akiwa mkuu wa polisi hakuyaona haya wengine wakitendewa kama yeye na bado yanaendelea, kweli sheria msumeno, na mkuki kwa nguruwe binadamu mchungu.