Mzito Kabwela
Platinum Member
- Nov 28, 2009
- 18,904
- 7,746
Zitto ndo huyo tena.... Mi nataka kuanzisha chama cha malaika walio duniani.
Kitaitwa Alliance of Angels.. (AA). Natafuta katibu mkuu
Mwanaume mzima wata uachwaje au ngj tujeziba oil bas km yavuja
Mwanaume mzima wata uachwaje au ngj tujeziba oil bas km yavuja
Zito ni Kiongozi Mkuu wa chama,msimwandikeandike mitandaoni hovyo kama hivi.Mnataka kumuumbua kiongozi mkuu wa chama? Mmetumwa nini? Hamkawii kusema Kiongozi Mkuu au Mhusika Mkuu ni gamba!
Shikeni adabu yenu,hasa wewe mleta mada.Mkicheza tutawa-Digest completely.
Pole sana,Kiongozi Mkuu.Kigoma Kaskazini umeiletea neema.Asiye na macho na ambaye haamini atembelee jimbo hata na bajaj.Barabaara murua!Hospitali zimejaa tele,well equiped.Kawaonjeshe na watu wa mjini utamu.
manu, wewe ni mpuuzi tu unakaa kutunga majungu yasiyo na msaada wowote, kumsemasema zitto unafaidika nini?
hata kigoma yenyewe unaifahamu vizuri?
unakalili barabara ya mwandiga to manyovu, vip mwandiga to kidahwe ni jimboni kwako, visima vilivyochimbwa wewe ndio uliyetoa hizo fedha? wewe ndiye uliyepigania Uwanja wa ndege kujengwa Kwa rami? baadhi ya watoto wasiojiweza ulikuwa unawasomesha wewe? n.k
acha upumbavu
Kigoma Kaskazini hatuna uwanja wa ndege.
Kusomesha wakati watoto wetu wanafeli kwa zaidi ya 60%?
Mwandiga to kidahwe sio lami!
Na wewe ni wa kukariri.
Sisi tunataka hospitali siyo ambulance ya kutupeleka Maweni Hospital- Kigoma mjini.
Tunataka suluhu la kipindu pindu baaas. Maswala ya ACT sijUi Chadema..... Is non of our business!
Kigoma Kaskazini hatuna uwanja wa ndege.
Kusomesha wakati watoto wetu wanafeli kwa zaidi ya 60%?
Mwandiga to kidahwe sio lami!
Na wewe ni wa kukariri.
Unataka akuachie mimba ndo utafurahi mini?