mbona anadai kila kitu mlichotaka katimiza na kwamba baada ya kuona uwezo wake wakazi wa kigoma mjini wakiongozwa na serukamba wamemuomba asaidie kigoma mjini kuwa kama dubai .
Hana lolote zaidi ya uroho Wa madaraka, amefanya hivyo baada ya kuona Kigoma Kaskazini hawezi kupitishwa. Kigoma mjini anatumia kigezo cha Udini kupita.
Wabunge wote wa Chadema, uwa nacheka sana uteteza wa Chadema ukihoji kuhusu wabunge wao kutimiza ahadi zao wanarukia CCM na kujenga hoja kama za kwako.
Wabunge wote wa Chadema, uwa nacheka sana uteteza wa Chadema ukihoji kuhusu wabunge wao kutimiza ahadi zao wanarukia CCM na kujenga hoja kama za kwako.