Zitto, UKAWA acheni kulia lia, hamkujipanga, jipangeni sasa

Mar 17, 2016
193
188
Jana ktk mahojiano na waandishi wa habari, nilimskia Zitto akilalamika kuwa haya yanayofanyika sasa hayakuwepo miaka 10 iliyopita.Lkn pia CDM nao wamelalamika hasa baada ya kuzuiliwa kufanya mikutano japo wao naona wameamua kufungua kesi, kitu ambacho ni kizuri kama njia mojawapo ya kudai kile wanachohisi hakiendi sawa.

Lkn pamoja na yote ukweli hawa watu hawakujipanga na ujio wa serikali mpya, lkn pia inaonekana walimchukulia poa Magufuli, hawakudhani kuwa angekuwa master wa siasa kiasi hiki, sasa ndo wanashituka. Labda niseme kitu, ukiangalia serikali ya Magufuli ina aina mbili ya watu, watu wa kazi( mhongo, Ndalichako, Mbalawa, Mpango na wengine) lkn kuna nguli wa siasa wanaonekana kuwa nyuma ya serikali hii ambao wanawachezesha sindimba kina Mbowe, Zitto na wenzao, hivyo lazima wajipange kweli kweli.

Kitu cha pili ambacho wamenishangaza hawa jamaa ni kama sio wanasiasa, wanachokifanya CCM ndo siasa zenyewe, Kikwete alifanya siasa zake, Pombe Joseph anafanya za kwake, hapa ninachotaka kusema akina Mbowe, Zitto wafanye siasa kulingana na wkt na jinsi CCM wanavozicheza ili kukabiliana nao, wanalia lia kuhusu Tulia, Tulia anafanya kazi yake 100% waliomchagua hawakubahatisha, mnavolia lia na kukimbia bunge mnampa credit Tulia kuwa kazi aliyopewa anaiweza na pengine 2020 anaweza kuja kuwa spika wa pili mwanamke, CCM ni chama tawala lazima kifanye kila linalowezekana kuendelea kuwa hivo. Na kufanya hivo lazima kitumie watu.

USA ni taifa linaloonekana kuendelea duniani kwenye utawala wa Kidemocrasia lkn angalia siasa zao za kimataifa, wkt wakimuandamaa Bashar, hao hao wamekaa kimya dhidi ya Saudia Arabia, ndo hawa walimsuppport Rais wa sasa wa Misri kumpindua Mohammed Mursi aliyekuwa amechaguliwa kidemocrasia na wanaendelea kumumiminia pesa hasa kwenye ulinzi. Kama Urusi na China wangekalia kulia lia dhidi ya siasa za USA kimataifa Leo wangekuwa wapi? Walichokifanya hawa nao ni kufanya siasa za kimataifa tofauti na zile za Marekani mwisho wa Siku kuna heshima.

Hivyo Zitto na UKAWA badala ya kulia lia na kumkimbia mwanamke yule, hebu jipangeni fanyeni siasa kulingana na wkt, awamu hii niionavyo si rafiki kwa siasa za harakati, wenzenu wapo kimkakati, lazima na nyie mbadilike sasa, acheni uharakati fanyeni siasa sasa.
 
Ni kweli ila viongozi wangu kila nikiwashauri wanadhani mimi ni mamluki
 
Yeye ndie ndumila kuwili alikuwa anawapigia debe ccm sasa wamemwanga analopoka tu.


swissme
 
Jana ktk mahojiano na waandishi wa habari, nilimskia Zitto akilalamika kuwa haya yanayofanyika sasa hayakuwepo miaka 10 iliyopita.Lkn pia CDM nao wamelalamika hasa baada ya kuzuiliwa kufanya mikutano japo wao naona wameamua kufungua kesi, kitu ambacho ni kizuri kama njia mojawapo ya kudai kile wanachohisi hakiendi sawa.

Lkn pamoja na yote ukweli hawa watu hawakujipanga na ujio wa serikali mpya, lkn pia inaonekana walimchukulia poa Magufuli, hawakudhani kuwa angekuwa master wa siasa kiasi hiki, sasa ndo wanashituka. Labda niseme kitu, ukiangalia serikali ya Magufuli ina aina mbili ya watu, watu wa kazi( mhongo, Ndalichako, Mbalawa, Mpango na wengine) lkn kuna nguli wa siasa wanaonekana kuwa nyuma ya serikali hii ambao wanawachezesha sindimba kina Mbowe, Zitto na wenzao, hivyo lazima wajipange kweli kweli.

Kitu cha pili ambacho wamenishangaza hawa jamaa ni kama sio wanasiasa, wanachokifanya CCM ndo siasa zenyewe, Kikwete alifanya siasa zake, Pombe Joseph anafanya za kwake, hapa ninachotaka kusema akina Mbowe, Zitto wafanye siasa kulingana na wkt na jinsi CCM wanavozicheza ili kukabiliana nao, wanalia lia kuhusu Tulia, Tulia anafanya kazi yake 100% waliomchagua hawakubahatisha, mnavolia lia na kukimbia bunge mnampa credit Tulia kuwa kazi aliyopewa anaiweza na pengine 2020 anaweza kuja kuwa spika wa pili mwanamke, CCM ni chama tawala lazima kifanye kila linalowezekana kuendelea kuwa hivo. Na kufanya hivo lazima kitumie watu.

USA ni taifa linaloonekana kuendelea duniani kwenye utawala wa Kidemocrasia lkn angalia siasa zao za kimataifa, wkt wakimuandamaa Bashar, hao hao wamekaa kimya dhidi ya Saudia Arabia, ndo hawa walimsuppport Rais wa sasa wa Misri kumpindua Mohammed Mursi aliyekuwa amechaguliwa kidemocrasia na wanaendelea kumumiminia pesa hasa kwenye ulinzi. Kama Urusi na China wangekalia kulia lia dhidi ya siasa za USA kimataifa Leo wangekuwa wapi? Walichokifanya hawa nao ni kufanya siasa za kimataifa tofauti na zile za Marekani mwisho wa Siku kuna heshima.

Hivyo Zitto na UKAWA badala ya kulia lia na kumkimbia mwanamke yule, hebu jipangeni fanyeni siasa kulingana na wkt, awamu hii niionavyo si rafiki kwa siasa za harakati, wenzenu wapo kimkakati, lazima na nyie mbadilike sasa, acheni uharakati fanyeni siasa sasa.
Aisee umeongea ukweli mtupu. Ila kuna kitu ningependa kujua. Hivi kumbe wawakilishi wa wananchi bungeni wanaotoka kwenye chama tawala kazi yao ni kui defende serikali? Ikiwa ni pamoja na kuwapinga na kuwakandamiza wabunge wa vyama pinzani!? Mm mwanzo nilijua bunge kazi yake ni kuisimamia serikali ili ikae kwenye mstari kutokana na mahitaji ya wananchi sehemu walizo chaguliwa.

Kwa walichokifanya ukawa inaweza ikawa ni sawa kwa sababu walileta hoja kwa kuomba mwongozo kutokana na matatizo ya wananchi wao ambayo yalitokea ghafla. Badala ya kusikilizwa, wakatolewa nje kwa nguvu
NI KWELI ILA VIONGOZI WANGU KILA NIKIWASHAURI WANADHANI MIMI NI MAMLUKI.
 
Aisee umeongea ukweli mtupu. Ila kuna kitu ningependa kujua. Hivi kumbe wawakilishi wa wananchi bungeni wanaotoka kwenye chama tawala kazi yao ni kui defende serikali? Ikiwa ni pamoja na kuwapinga na kuwakandamiza wabunge wa vyama pinzani!? Mm mwanzo nilijua bunge kazi yake ni kuisimamia serikali ili ikae kwenye mstari kutokana na mahitaji ya wananchi sehemu walizo chaguliwa.

Kwa walichokifanya ukawa inaweza ikawa ni sawa kwa sababu walileta hoja kwa kuomba mwongozo kutokana na matatizo ya wananchi wao ambayo yalitokea ghafla. Badala ya kusikilizwa, wakatolewa nje kwa nguvu
Mkuu hizi ni siasa, unadhani kuna Chama kipo tayari kuachia madaraka kirahisi, na kuhusu hiki la wabunge so long chama ndo ticketing ya kuwa mbunge haya mambo yataendelea kutokea, hata UKAWA udidhani wabunge wrote wanapenda kutoka, lkn kwa vile Chama kimeamua hawana jinsi, ukweli ni kwamba wabunge wrote wa CCM au CDM hawawez kuwa na akili na mitazamo sawa bila wanalaximika kukubaliana na matakwa ya Chama na hapa ndipo umuhimu wa independent candidate unapoonekana.
 
Mkuu hizi ni siasa, unadhani kuna Chama kipo tayari kuachia madaraka kirahisi, na kuhusu hiki la wabunge so long chama ndo ticketing ya kuwa mbunge haya mambo yataendelea kutokea, hata UKAWA udidhani wabunge wrote wanapenda kutoka, lkn kwa vile Chama kimeamua hawana jinsi, ukweli ni kwamba wabunge wrote wa CCM au CDM hawawez kuwa na akili na mitazamo sawa bila wanalaximika kukubaliana na matakwa ya Chama na hapa ndipo umuhimu wa independent candidate unapoonekana.
Ujue mm huwa sioni hoja za wabunge wa upinzani zikifanyiwa kazi.
Hilo la mgombea binafsi nimelipenda aisee. Huenda ikawa na nguvu
 
Umeanza vizuri sana ila ni vyema ungetoa solution wafanyaje sio kuishia katikati.

Kwa maelezo yako inamaanisha hii mbinu yao wanaitumia sasa hivi wamefeli: toa sasa way foward wafanyaje kama una njia bora kuliko wao.

Hata kwenye mtihani, kisomi unachambua weaknesses; then unatoa recommendations nini kifanyike.
 
Jana ktk mahojiano na waandishi wa habari, nilimskia Zitto akilalamika kuwa haya yanayofanyika sasa hayakuwepo miaka 10 iliyopita.Lkn pia CDM nao wamelalamika hasa baada ya kuzuiliwa kufanya mikutano japo wao naona wameamua kufungua kesi, kitu ambacho ni kizuri kama njia mojawapo ya kudai kile wanachohisi hakiendi sawa.

Lkn pamoja na yote ukweli hawa watu hawakujipanga na ujio wa serikali mpya, lkn pia inaonekana walimchukulia poa Magufuli, hawakudhani kuwa angekuwa master wa siasa kiasi hiki, sasa ndo wanashituka. Labda niseme kitu, ukiangalia serikali ya Magufuli ina aina mbili ya watu, watu wa kazi( mhongo, Ndalichako, Mbalawa, Mpango na wengine) lkn kuna nguli wa siasa wanaonekana kuwa nyuma ya serikali hii ambao wanawachezesha sindimba kina Mbowe, Zitto na wenzao, hivyo lazima wajipange kweli kweli.

Kitu cha pili ambacho wamenishangaza hawa jamaa ni kama sio wanasiasa, wanachokifanya CCM ndo siasa zenyewe, Kikwete alifanya siasa zake, Pombe Joseph anafanya za kwake, hapa ninachotaka kusema akina Mbowe, Zitto wafanye siasa kulingana na wkt na jinsi CCM wanavozicheza ili kukabiliana nao, wanalia lia kuhusu Tulia, Tulia anafanya kazi yake 100% waliomchagua hawakubahatisha, mnavolia lia na kukimbia bunge mnampa credit Tulia kuwa kazi aliyopewa anaiweza na pengine 2020 anaweza kuja kuwa spika wa pili mwanamke, CCM ni chama tawala lazima kifanye kila linalowezekana kuendelea kuwa hivo. Na kufanya hivo lazima kitumie watu.

USA ni taifa linaloonekana kuendelea duniani kwenye utawala wa Kidemocrasia lkn angalia siasa zao za kimataifa, wkt wakimuandamaa Bashar, hao hao wamekaa kimya dhidi ya Saudia Arabia, ndo hawa walimsuppport Rais wa sasa wa Misri kumpindua Mohammed Mursi aliyekuwa amechaguliwa kidemocrasia na wanaendelea kumumiminia pesa hasa kwenye ulinzi. Kama Urusi na China wangekalia kulia lia dhidi ya siasa za USA kimataifa Leo wangekuwa wapi? Walichokifanya hawa nao ni kufanya siasa za kimataifa tofauti na zile za Marekani mwisho wa Siku kuna heshima.

Hivyo Zitto na UKAWA badala ya kulia lia na kumkimbia mwanamke yule, hebu jipangeni fanyeni siasa kulingana na wkt, awamu hii niionavyo si rafiki kwa siasa za harakati, wenzenu wapo kimkakati, lazima na nyie mbadilike sasa, acheni uharakati fanyeni siasa sasa.

naafikiana nawe kwa kiasi kikubwa ingawa kwa upande mwingine mimi binafsi naona hii ni opportunity nzuri sana kwa Zitto, Ukawa, etal kutudhihirishia sisi wafuasi wa mabadiliko kuwa truly wao ni wapinzani wa kweli and we can count on them.

wakiendelea kulialia sasa sisi wafuasi wao tufanyeje?

to be the best hero one needs to be tested against the mother of all monsters. uongozi wa nchi siyo handout. you have to earn it - and this is the opportunity for the opposition to showcase their prowess that they have got the balls to run the show.
 
Ujue mm huwa sioni hoja za wabunge wa upinzani zikifanyiwa kazi.
Hilo la mgombea binafsi nimelipenda aisee. Huenda ikawa na nguvu

Hoja hapa ni katiba nzuri ndiyo dawa. Lakini ukimleta mbunge binafsi kwa katiba hii bado watafanyiwa fitna ya kina Makinda, Sita & Tulia tu.

Na waafrica kwa hulka zao hawako tayari kuwa fair labda baada ya vurugu ndiyo huwa wanaheshimiana tena kidogo tu.

Lakini kusema UKAWA waje ki mkakati labda Ile wasioipenda.
 
Mie hiyo move ya kutoka bunge ni kwa kutomkubali NS naiona inekaa saw a kabisa.

Na kwa ujinga wa ccm wanahajikisha kila session anakuwepo yeye ili watoke.

Sasa wangeonyesha ubora wao kwa kutumia wakati hawa hawapo kuichachafya serikali kwenye madudu yote mpaka tuone kuwa nao wako serious, lakini hakuna zaidi ya kutumia muda huo mchache kuwasengenya waliopo nje na kuunga mkono hoja.

Hapo ndio wanapodhihirisha kwa raia kuwa kumbe wawakilishi wao wa kweli ni wale walioko nje ya bunge.

Utawala kutumia nguvu kudhibiti bunge sio jambo la fahari bali la fedheha maana ni kuwakandamiza na kuwafunga mdomo wananchi, na wananchi utakao kuta wanaunga mkono ni wale wasioelewa nini kinawasibu wao.
 
Wajipange vipi sasa kama mikutano ya kisiasa imepigwa marufuku na katiba inavunjwa wazi wazi?
 
Hivi huu upuuzi wa sisi uwasilishaji wa hovyo wa mada namna hii unafanikisha nini?

Maana angalau hoja ingeelekezwa kwenye hasara au tija inayoendana na hoja. Imekaa kumbeambea kusiko na tarajio lo lote.
 
Ingawa umeongea kwa mlengo wa CCM lakini ujumbe umefika tena unaoumiza. Tatizo la upinzani hapa kwetu hawapendi kuelezwa ukweli. Tupo wengi tunaowapenda lakini kuna mambo mengine wanaudhi na kukatisha tamaa. Wao ni kuona kila wanachikitaka kisipofanikiwa ni kulia lia kama watoto wakihisi wameonewa na kuona suluhisho pekee ni kususia mambo. Ukisusa unawapa ushindi wenzako. Komaa kwa hoja, hoja zenu ndio ushindi hata kama hazikufanyiwa kazi.
 
Umeanza vizuri sana ila ni vyema ungetoa solution wafanyaje sio kuishia katikati.

Kwa maelezo yako inamaanisha hii mbinu yao wanaitumia sasa hivi wamefeli: toa sasa way foward wafanyaje kama una njia bora kuliko wao.

Hata kwenye mtihani, kisomi unachambua weaknesses; then unatoa recommendations nini kifanyike.
Mkubwa kwa sasa wafanye siasa za mkakati, kwa mfano huo muda na pesa wanaotumia kuzunguka kupambana na Tulia, wavitumie kutafta na kuandikisha wana chama wapya, kufanya semina kuanzia mashinani, kuimarisha baraza la wana wake na vijana, haya ysnawexa fanyika bila hata kufanya mitkutano, lkn pia itawasaidia kupata loyal voters kama ilivyo kwa CCM, lkn pia waanze mikakati ya kudai katiba mpya, sio lazima kwa mikutano, wanaweza wanafanya kwa kuitumia press conference, kumbuka Dr. Slaa alikuwa mala kibao likitoke jambo anaita press conference na mtetemo wake alikuwa unawafikia vzr tu, sasa HV ni kama mtu wa aina yake anakosekana!
 
Ingawa umeongea kwa mlengo wa CCM lakini ujumbe umefika tena unaoumiza. Tatizo la upinzani hapa kwetu hawapendi kuelezwa ukweli. Tupo wengi tunaowapenda lakini kuna mambo mengine wanaudhi na kukatisha tamaa. Wao ni kuona kila wanachikitaka kisipofanikiwa ni kulia lia kama watoto wakihisi wameonewa na kuona suluhisho pekee ni kususia mambo. Ukisusa unawapa ushindi wenzako. Komaa kwa hoja, hoja zenu ndio ushindi hata kama hazikufanyiwa kazi.
Mkuu swala LA Tulia they are fighting a wrong enemy, hata Leo akitoka anaweza kuja mwingine akawa vile vile, hapa wanatskiwa wapambane na namna inayowawezesha watu wa aina ya Tulia kuoatikana, lkn pia, Tulia kama nilivyosema wanafanya kazi yake vzr, ile ndo kazi iliyomuweka pale, hivyo wanavyotoka nje kwake ni mafanikio!
 
Wajipange vipi sasa kama mikutano ya kisiasa imepigwa marufuku na katiba inavunjwa wazi wazi?
OK, bungeni wametoka, mikutano ya hazara wamekuwa burn, kwahiyo wakae tu watulie, they must do something, tofauti na walivozoea, maana ssa hv ni kama CCM wameshawaotea wanajua nini mtafanya, wanachofanya wao ni kuwa pre empty.
 
Back
Top Bottom