The Watchman
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 348
- 666
"Uchaguzi wa Marekani umeisha, Wachambuzi rudini kuchambua uchaguzi wa Vijiji na Mitaa. Kuna mambo mengi ya kutazama. Sura ya siasa imebadilika kabisa.
1. Huu ni uchaguzi wa namba, ukubwa wa oganaizesheni ya chama unapimwa kwa idadi ya wagombea na namna wamesambaa nchini. Idadi ya wagombea mpaka sasa imechora ramani mpya ya siasa za Tanzania bara.
2. Uchaguzi huu unaonyesha ukubwa wa idadi ya wanachama wa chama
Cha siasa. Takwimu mpaka sasa inaonesha kuwa Tanzania ni nchi ya vyama 3 tu. Vyama vingine vimefutika kabisa katika ramani ya siasa.
Nataraji kuona wachambuzi mnafanya kazi hii ili sisi wanasiasa tupate kuona na kuwajibika kwenye uhalisia na sio hisia na tambo tu.
Uchaguzi wa marekani umeisha, rudini nyumbani sasa."
Soma pia: Zitto ashauri upinzani kuungana kwenye chaguzi kuing’oa CCM
Chanzo Jambo TV
1. Huu ni uchaguzi wa namba, ukubwa wa oganaizesheni ya chama unapimwa kwa idadi ya wagombea na namna wamesambaa nchini. Idadi ya wagombea mpaka sasa imechora ramani mpya ya siasa za Tanzania bara.
2. Uchaguzi huu unaonyesha ukubwa wa idadi ya wanachama wa chama
Cha siasa. Takwimu mpaka sasa inaonesha kuwa Tanzania ni nchi ya vyama 3 tu. Vyama vingine vimefutika kabisa katika ramani ya siasa.
Nataraji kuona wachambuzi mnafanya kazi hii ili sisi wanasiasa tupate kuona na kuwajibika kwenye uhalisia na sio hisia na tambo tu.
Uchaguzi wa marekani umeisha, rudini nyumbani sasa."
Soma pia: Zitto ashauri upinzani kuungana kwenye chaguzi kuing’oa CCM
Chanzo Jambo TV