GE2025 Zitto: Tutampigania Mpina hadi atakaporejeshwa, tunaamini Mahakama itatenda haki

GE2025 Zitto: Tutampigania Mpina hadi atakaporejeshwa, tunaamini Mahakama itatenda haki

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
1759405627379.jpeg

Kiongozi Mstaafu wa Chama cha Act Wazalendo Zitto Kabwe, amesisitiza kuwa chama hicho kimejipanga kikamilifu kupambana na Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika uchaguzi ujao, kwa lengo la kuhakikisha demokrasia ya kweli inatamalaki nchini.

Zitto ameyaeleza hayo Septemba 29, 2025 akiwa Same Mashariki Mkoani Kilimanjaro, katika muendelezo wa ziara ya Mikoa 4 aliyopangiwa na chama kuanzia Septemba 29 hadi Oktoba 12, 2025.

Soma > >
Zitto ameeleza kuwa ACT Wazalendo imefanikiwa kuweka wagombea Ubunge kwa 68% ya majimbo yote nchini, hatua inayodhihirisha dhamira ya chama kushiriki kikamilifu katika mchakato wa kuunda serikali ya wananchi.

Kuhusu mgombea wa Urais, Luhaga Mpina, Zitto amesisitiza kuwa chama kitaendelea kupigania haki yake hadi pale atakaporejeshwa rasmi kuwania nafasi hiyo. Wakati huohuo, ACT Wazalendo inaendelea kuimarisha kampeni zake za kuwania viti vya Ubunge na nafasi nyingine za uongozi.

 
Zitto hii gambling aliyofanya itaawadhibu na kuwapotezea wanachama muda akili zitakapowakaa sawa.

Kituo kinachofata Oktoba 6 , nayenyewe itasogezwa mpaka uchaguzi utapita
 
🤣🤣😅😅janjajanja sana mpina ameingia king kishamba sana.
 
Halafu jamaa amekosa aibu kabisa, pumbav
 
Kiongozi Mstaafu wa Chama cha Act Wazalendo Zitto Kabwe, amesisitiza kuwa chama hicho kimejipanga kikamilifu kupambana na Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika uchaguzi ujao, kwa lengo la kuhakikisha demokrasia ya kweli inatamalaki nchini.

Zitto ameyaeleza hayo Septemba 29, 2025 akiwa Same Mashariki Mkoani Kilimanjaro, katika muendelezo wa ziara ya Mikoa 4 aliyopangiwa na chama kuanzia Septemba 29 hadi Oktoba 12, 2025.

Zitto ameeleza kuwa ACT Wazalendo imefanikiwa kuweka wagombea Ubunge kwa 68% ya majimbo yote nchini, hatua inayodhihirisha dhamira ya chama kushiriki kikamilifu katika mchakato wa kuunda serikali ya wananchi.

Kuhusu mgombea wa Urais, Luhaga Mpina, Zitto amesisitiza kuwa chama kitaendelea kupigania haki yake hadi pale atakaporejeshwa rasmi kuwania nafasi hiyo. Wakati huohuo, ACT Wazalendo inaendelea kuimarisha kampeni zake za kuwania viti vya Ubunge na nafasi nyingine za uongozi.

View attachment 3481240
Hivi bado kuna watu hàwajajua unafiki wa Zitto?

Nina hakika hata Mpina anajuta kuingia ACT.

ZIitto aliweka mtego wa kuwanasa wale wanaCCM wanaohama dakika za mwisho baada ya kutemwa CCM kwa ile kanuni inayotaja mtu awe amejiunga ACT siku saba kabla ya mchakato wa ndani kuanza na ACT ilitangaza mchakato mwezi Mei.

Vyama vyote huwa vinachukua makapi toka CCM baada ya kutemwa sasa yeye kuweka hicho kipengele alijua wazi kitawanasa wengi hasa wale prominent toka CCM.

Kwa kazi aliyofanya lazima Zitto apewe ubunge wa Kigoma mjini.

Nitashangaa sama ikiwa nwaka 2030 wagombea watanasa tena kwa kujiunga na ACT baada ya kutemwa na vyama vyao.
 
When ? Pakishapambazuka ?

Justice Delayed is Justice Denied
 
Back
Top Bottom