Zitto tuambie mchango wa Kigoma


Zzk sasa kila akiamuka anatoka na wimbo mpya,hata single zake mwenyewe ameshazisahau
 
Kuna mwengine kule HAI yeye mda wote yuko Dar , na mikoa mingine anajenga CHAMA, amekumbuka shuka pamekucha, atusubiri october

Naona dawa imekuingia vema sana,mwaka huu utapona na ubongo wako utatulia.
 
naona WACHAGA mpo kazini kama kawa.......pinda pindua sisi waislam hatumpi kura PADRI...pyyuuuuuu

Sema wewe na familia yako,husitutie najisi wewe kidudu mtu,waislam hatuna tabia hizo za kihinterahamwe na mtoto wake.mwanakhram
 

mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, sidhani kama wewe ni mtu wa kigoma kweli mbona yote anayoyasema ni kweli, barabara ya kwenda manyovu ni Lami, uwanja mkubwa wa ndege, aliwatafutia soko zuri wakulima wa kahawa. amefanya mengi sana mkoani kigoma, lazima kwa hili tukubali, wewe unayebisha na pia unadai unatoka kigoma unatoka sehemu gani au wewe ni mrundi???////////:msela:
 
acha uongo mkuu tangu lini kipofu akaona?
 

acha kujiabisha mkuu, unakaa kigoma ipi? acheni siasa kwa vitu serious tulikuwa tunalala kahama, siku hizi unalala njian kuja dar?
 

Sasa kabla hajawa msaliti ulikuwa ukimshabikia kwa lipi zuri au ndiyo kwa sababu tu alikuwa chadema?
 
Umemaliza au bado unayo mengine, maliza yoote kisha tuje kukufahamisha haswa kuku punguzia kupanic
 
Sema wewe na familia yako,husitutie najisi wewe kidudu mtu,waislam hatuna tabia hizo za kihinterahamwe na mtoto wake.mwanakhram

Unakumbu alichokisema Lipumba tena ndani ya mskt kuhusu chadema?
 
madogo nadhani hawajui kitu,na wamekosa akili ya kupima anayoyasema Zito
 
Kigoma haikuwa na barabara ya lami nguzo za umeme zimesambazwa jambo lote la kigoma kaskazini . kigoma haikuwa na stand ya magali yaendayo mikoani. Wewe ulitaka afanye nini zaidi ya hivyo
Ningum kuelewa na alie kuwa kigoma miaka yanyuma akurudi sasa ndio ataona utofauti
 
Alivyokuwa bado chadema mliwahi kuyasema hayo kuwa hajafanya kitu kigoma au ndiyo mliyanyamazia kwa kuwa tu ni chadema? Je,ni wangapi ambao sasa hawajafanya kitu ila nao umeyanyamazia kwa kuwa tu ni chadema?
 
Kigoma haikuwa na barabara ya lami nguzo za umeme zimesambazwa jambo lote la kigoma kaskazini . kigoma haikuwa na stand ya magali yaendayo mikoani. Wewe ulitaka afanye nini zaidi ya hivyo

Acha urongo kazi ya kujenga barabara ni kazi ya serikali si ya mbunge, ZZK ni mpenda sifa na mbinafsi!
 
Acha urongo kazi ya kujenga barabara ni kazi ya serikali si ya mbunge, ZZK ni mpenda sifa na mbinafsi!

Basi amna haja ya kuwa na mbuge maana maendeleo yanaletwa na serikali na mchango wa mbunge hamna
 

Waambie mkuu asiyethamini mchango wa zito kwa mkoa wa kigoma anatakiwa kuchunguzwa uraia wake huenda ni mkimbizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…