Wanachuo wengi wa siku hizi ni mambumbumbu. Unamuweka makamba namba moja ktk urais kwa record zipi za uongozi. Wanachuo wa sasa hivi waache kuchumia tumbo. Hawa wanachuo waseme hizo taasisi ambazo makamba ameziongoza zimeleta tija gani kwa wananchi na taifa kwa ujumla. Hakuna wanachuo makini siku hizi, ni utoto tu.