Zitto: Nitazungumza na vyombo vya habari kuhusu hali ya usalama wa nchi na zao la Korosho

Mfano akisema hali ya nchi ni Salama ila kuna vi-jambazi vinataka kutuchafulia reputation hadi nje ya Nchi,inabidi mamlaka ziongeze mbinu za kukabili hao vi-jambazi ata kwa mfumo wa teknolojia ya juu zaidi,alafu kuhusu korosho akatoa mapendekezo ya kiuchumi zaidi kuhusu soko la korosho Duniani,Tofauti ya Bodi ya Korosho na Wakulima na nini kifanyike mbona poa tu! Tatizo tunawaza matamko ya Shari..kila Mtu aombe mambo yaende sawa
 
Kama atasema yeye wewe kununaogopa Nini. Ku
Ni haki yake kikatiba kutoa maoni yake
nasisitiza tu awe na mipaka nini cha kuongea nini cha kuacha asijiingize mtegoni, sometimes mdomo huponza kichwa.!
 
Mbunge wa Kigoma Mjini kwa Chama cha ACT- Wazalendo Zitto Kabwe, anatarajia kuzungumza na waandishi wa vyombo vya habari kesho kwenye makao makuu ya ACT-Wazalendo Kijitonyama jijini Dar es salaam kuhusu hali ya usalama wa nchi na kuhusu zao la Korosho.

"Kesho Oktoba 28, 2018 saa 5.00 asubuhi nitazungumza na waandishi wa vyombo vya habari makao makuu ya Chama Kijitonyama, Dar es salaam kuhusu;

1. Hali ya Usalama wa Nchi

2. Mwenendo wa zao la Korosho

Waandishi wote mnakaribishwa".

Taarifa imetolewa na ado shaibu ACT- Wazalendo.
Uja ambatananisha na Tweet ??
Au aja tweet leo
 
hivi kisheria ni nani mwenye mamlaka ya kuzungumzia hali ya usalama wa nchi hasa katika hali ya kutumia mkutano wa waandishi wa habari?, zaidi ya kuwa mbunge ameshirikiana na maofisa usalama kujua hali ya usalama ipo vp? Je matukio haya ya hivi karibuni yanatosha kutangaza kuwa nchi iko katika hali ya hatari? Maana natarajia atasema hivyo. Kuhusu korosho sina uhakika lipi litaongelewa nahisi anaweza kuwa na pointi hasa kwakuwa ni mbunge. Kwenye suala la usalama awe makini na mdomo wake.
Huyu ni mtu makini anayejitambua.
 
hivi kisheria ni nani mwenye mamlaka ya kuzungumzia hali ya usalama wa nchi hasa katika hali ya kutumia mkutano wa waandishi wa habari?, zaidi ya kuwa mbunge ameshirikiana na maofisa usalama kujua hali ya usalama ipo vp? Je matukio haya ya hivi karibuni yanatosha kutangaza kuwa nchi iko katika hali ya hatari? Maana natarajia atasema hivyo. Kuhusu korosho sina uhakika lipi litaongelewa nahisi anaweza kuwa na pointi hasa kwakuwa ni mbunge. Kwenye suala la usalama awe makini na mdomo wake.
Uliwahi kujiuliza haya maswali kwa Musiba?
 
katika katiba ya tanzania mwenye mamlaka ya kutangaza hal ya hatari ni rais.co ktakochoendlea kikubwa mjandae ktletea apa jamvini ila najua tyu polccm watanyoosha fimbo ya mbali!
Wap umeona wameandika kuwa anaenda kutangaza "Hali ya Hatari"
 
Bado najiuliza kama aina hii ya Demokrasia ndiyo tunayoitaka au lah..! Nishasikia mara kusikia huko U.S.A mtu anachukua bunduki anawamiminia watu 17 wanafariki ila sijawahi kumsikia Senator wa Republican wala wa Democrat akiitisha vyombo vya habari kuongelea suala la usalama wa nchi...!! BADO NAJIULIZA HIZI NDIZO SIASA TUNAZOZITAKA AU KUNA MTU ANATAKA TU KUTENGENEZA PLATFORM..?
 
hivi kisheria ni nani mwenye mamlaka ya kuzungumzia hali ya usalama wa nchi hasa katika hali ya kutumia mkutano wa waandishi wa habari?, zaidi ya kuwa mbunge ameshirikiana na maofisa usalama kujua hali ya usalama ipo vp? Je matukio haya ya hivi karibuni yanatosha kutangaza kuwa nchi iko katika hali ya hatari? Maana natarajia atasema hivyo. Kuhusu korosho sina uhakika lipi litaongelewa nahisi anaweza kuwa na pointi hasa kwakuwa ni mbunge. Kwenye suala la usalama awe makini na mdomo wake.
Wewe unataka nani akuambie nchi hii siyo salama kutembea peke yako usiku! Mimi nikikuambia unadhani nimefanya kosa?
 
hivi kisheria ni nani mwenye mamlaka ya kuzungumzia hali ya usalama wa nchi hasa katika hali ya kutumia mkutano wa waandishi wa habari?, zaidi ya kuwa mbunge ameshirikiana na maofisa usalama kujua hali ya usalama ipo vp? Je matukio haya ya hivi karibuni yanatosha kutangaza kuwa nchi iko katika hali ya hatari? Maana natarajia atasema hivyo. Kuhusu korosho sina uhakika lipi litaongelewa nahisi anaweza kuwa na pointi hasa kwakuwa ni mbunge. Kwenye suala la usalama awe makini na mdomo wake.
Hivi haya mawazo yako ya kifikiri kutoa mawazo yako hadi upate ruhusa umeyapata katika elimu uliyopata au umeambiwa ???
 
Back
Top Bottom