InasemekanaHivi ni kweli wakimfuata wanakuta ziwa?
Nchi hii ipo kwenye kipindi kigumu ajabu ila wengi Hawajui. Hakuna mkosoaji na kila lifanywalo na serikal linainekana lipo Sawa. Mpaka vyombo vya habar vimekuwa washika bendera ktk kuwapumbaza raia.Sio wote mzee wanaojielewa hawashangili. Matorozobo ndo yanashangilia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haina noma amigoHiyo sms imesomwa na yeye mwenyewe na akaamua kuandika hivyo,kosa lake liko wapi?.
Ni utashi wake baada ya kuisoma sms.
Jamani anatekeleza kauli mbiu ya kwamba tunatumia pesa za ndani hatutaki pesa za mabeberu sasa mbona mnapiga kelele wakati nchi hii ina pesa nyingi jamani? Au mimi ndiye ambaye sielewiMsaliti wa Taifa.
Kama mazuri anasifiwa yeye na mabaya yatamuandama yeye. Kwani ukisikia mtu kajiuzuru kwa kuwajibika anakuwaga ndiye katenda madudu au wale walioko chini yake ndiyo wametenda na muda mwingine hawajatenda kabisa ila wameshindwa kuzuia madudu yasitokee kama ambavyo vyombo vya usala vinashindwa tupatia majibu ya mengi yanayoendeleaHapo Zitto alikurupuka. Ana uhakika gani kama Mh Dokta mwenye degree tatu John Magufuli Pombe anahusika na hiyo sms ?
Kuna muda Zitto huwa anajitoa ufahamundiyo hapo, yaani atumiwe msg kick aipate kwa kumtaja magufuli, kweli siasa ni mchezo mchafu....magu amehusikaje na msg yake?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mhusika ni mwakijembe seniorKama sio yeye basi mtaje muhusika.
Tutaamin vip kama kweli ametumiwa ujumbe kama kweli atume namba ilio mtumia ujumbe na ujumbe wenyewe mitandao watu tunaweza jua Nan kamtumia sababu watanzania ni wengi haiwezekani akosekane hata mmoja asiifaham namba pia mbona tundulisu alipo tishiwa alitaja mpaka namba ya gar Zito anashindwa nn"Nilipoamka leo nilikutana na ujumbe wa Simu “tutakushughulia labda usirudi”. Nikajisemea lipi jipya watafanya? Azory, Saanane na Kanguye wamewapoteza. Lissu wamemshambulia kwa Risasi ili kumuua. Erick na kina Tito wapo jela. Lipi lipya watafanya? Magufuli SIKUOGOPI aslani." - Zitto Kabwe.
Kipaji cha unafkiSiku zote Zito amekua akijiona ni mtu aliesahihi,alianza na Chadema akaivuruga,sasa amehami kwingine,ila jamaa anakipaji sana.
Sawa kaburu mweusiKijana angu zitto wewe Ni mtu mdogo sana katika Taifa hili. Walikuwepo watu machachari zaidi yako waliojaribu kupambana na serikali Kama kina; Kambona, Ulimboka, lissu na wengine lkn mwisho wa siku wali/mezikimbia nchi zao hawana Uhuru wa utanzania Tena.
Kwahiyo wewe mrundi&mkongo tulia acha kuitikisa nchi yetu huiwezi hata kidogo.
UmesomekaKama mazuri anasifiwa yeye na mabaya yatamuandama yeye. Kwani ukisikia mtu kajiuzuru kwa kuwajibika anakuwaga ndiye katenda madudu au wale walioko chini yake ndiyo wametenda na muda mwingine hawajatenda kabisa ila wameshindwa kuzuia madudu yasitokee kama ambavyo vyombo vya usala vinashindwa tupatia majibu ya mengi yanayoendelea
Tutaamin vip kama kweli ametumiwa ujumbe kama kweli atume namba ilio mtumia ujumbe na ujumbe wenyewe mitandao watu tunaweza jua Nan kamtumia sababu watanzania ni wengi haiwezekani akosekane hata mmoja asiifaham namba pia mbona tundulisu alipo tishiwa alitaja mpaka namba ya gar Zito anashindwa nn
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba wote mlio muunga mkono Zito juu ya swala la mimba za wanafunzi kama mungu atawajalia kupata watoto wa kike au wenye tayar wanao kama mtoto wako atapewa mimba bado mwanafunzi naomba msichukie Lea mtoto mpaka atapojifungua akimaliza arud shule pia hata alie mpa mimba msimshurutishe kwa lolote itabid iwe haki Sawa mbebesha mimba na mbeba mimba alafu muone kama Kuna mabint watamaliza shule na Nina waakikishia mimba zitakua nying Sana"Nilipoamka leo nilikutana na ujumbe wa Simu “tutakushughulia labda usirudi”. Nikajisemea lipi jipya watafanya? Azory, Saanane na Kanguye wamewapoteza. Lissu wamemshambulia kwa Risasi ili kumuua. Erick na kina Tito wapo jela. Lipi lipya watafanya? Magufuli SIKUOGOPI aslani." - Zitto Kabwe.
Anatafuta huruma kwa udi na uvumba, ha ha ha.
Ya kwako umekwishampelekea Bashite?Kama huogopi yalete ayo mat*k*