huyu jamaa vipi chadema walisha acha kula kwenye sinia moja muda mrefu yaani wana jisevia kilamtu na sahani yake hapa na maanisha majukumu wanagawana sasa usipo muona zitto jua kaenda kufanya mjukumu mengine.si ccm wasubiliane wa bembelezane wale pamoja ndo hapo na milafi inajitokeza a.k.a gamba.zitto kaenda tafuta chakula ww subili akiludi