Nimekuwa nikifuatilia operation ya vua gamba vaa gwanda katika sehemu mbalimbali. Mhe. Zitto Zuberi Kabwe haonekani kwenye mikutano ya hadhara. Kama unajua sababu ambazo zinamfanya mheshimiwa huyu kutoshiriki tupia hapa.
Peoples
Power
Hakuna kulala
mpaka kieleweke
kwani hata tundu lisu ameonekana ? tuache unafki wengine wapo kwenye majukumu mengine
4MC- movement for Chagaz, kwa bahati mbaya yeye siyo mchaga!!
yap tundu lissu alionekana kwenye M4C manyara.
Dah! Hata mm nilikuwa na swali kama hilo lako mkuu nikijiuliza, acha tusibiro wanojua waje watupe majibu.
4MC- movement for Chagaz, kwa bahati mbaya yeye siyo mchaga!!
Dah! Hata mm nilikuwa na swali kama hilo lako mkuu nikijiuliza, acha tusibiro wanojua waje watupe majibu.
Nimekuwa nikifuatilia operation ya vua gamba vaa gwanda katika sehemu mbalimbali. Mhe. Zitto Zuberi Kabwe haonekani kwenye mikutano ya hadhara. Kama unajua sababu ambazo zinamfanya mheshimiwa huyu kutoshiriki tupia hapa.
Peoples
Power
Hakuna kulala
mpaka kieleweke
kwani hata tundu lisu ameonekana ? tuache unafki wengine wapo kwenye majukumu mengine