RAFAEL HAULE
Member
- Nov 11, 2013
- 49
- 2
Tunawapongeza kwa uamuzi mgumu kwa wakati muafaka.bado Shibuda
Hongereni sana cc.juzi niliuliza swali hapa jukwaani who is zzk hapa jukwaani mana kila ukiingia jukwaani hukosi habari za zzk.nafikiri usemi wa wahenga umetimia"ngoma ikivuma sana mwishowe hupasuka"tusubiri majibu yake hapa jamvini tuone atakuja single gani tena.naona taa ya hatari imekwisha washwa
Hizo sera zenu ni mfu,mlianza na uraia,ukabila na udini hamumpati mtu labda yale mazuzu yanayotumiwa na magamba bila kujijua...
Safi sanaaaaaaaaaa chadema..
Teh teh imechuja iyo,Zitto mwambie arudi Kigoma na ccm atakimbizwa kama mwizi..Wamecheza kamari ya Siasa Slaa na Mboe,na Mtajuta,lazima Mtapata ujira wa udhalimu wa Ukanda.
wilbroad slaa,ndiye masterminder wa hili picha lote hadi hapa tulipofikia,
ukitaka kuliamin hili ni pale alipokuwa anawatuma vifaranga vyake kuja kumchafua zitto kisha yeye kutokea hapa hadharani kama katibu mkuu kuja kushngilia uovu ule,hilo amethibistisha kwamba yeye sia ina ya kiongoz anaestahili kupewa dhamana ya kuongoz taifa,,
siku kadhaa zilizopita slaa alitokeza kwenye vyombo vya habari na kuwaambia wananchi kwamba hawana tatzo na zitto ila kuna watu nje ya chama wanawagombanisha,watu hao ni ccm,,sasa leo kiko wapi anageuza gari bila kuwasha indicator na kuja na picha kama hili??chadema lazima itambue kuwa haiwez kuongoza nchi kwa kuendekeza siasa za ukanda na ukabila hata siku moja
Wewe ni kabila gani? Upo chama gani? Umri wako haufanani na haya unayoandika. Unatia aibu
Mkuu hii inadhihirisha kuwa Zito alikuwa muhimu kwa CCM akiwa Chadema kwa manufaa ya CCM. Mhemuko walionao wachangiaje wengi kutoka CCM unadhihirisha hivyo na ndio uliochangia kwa kiwango kikubwa anguko la Zito. VUTA-NKUVUTE, ukiwa na mke ukaamua kumuadhibu au kusudio la kumuacha kwa kumtuhumu ana mahusiano na jirani nawe unataka kumrudisha kwao kisha jirani huyohuyo anapiga kelele " usimwache wala kumfukuza huyo ni mke mwema kaa naye tuu" kama hujashtuka wewe mjinga. Anataka aendelee kukaa nawe ili ampate kirahisi huyo maana hana shida ya kumuoa ila kula kwa ulaini.Kamati Kuu iliyoketi na kufanya uamuzi wake ni ya CHADEMA.Zitto Z. Kabwe ni mwanachama wa CHADEMA. Atajitetea kwa CHADEMA. Atasikilizwa na CHADEMA. Kama kuachwa au kufukuzwa,ni CHADEMA watakaoamua. CCM yangu inahusikaje na suala la uamuzi wa CHADEMA kwa Zitto?
Leo hata chai hainyweki. Kila kada hapa ni Zitto tu mdomoni. Mara ameonewa;mara haiwezekani;mara lazima abaki CHADEMA. Kwanini? Basi tusubiri afukuzwe CHADEMA ili tumchukue chamani. Kwanini mnataka muopiganie abaki CHADEMA mtu mnayempenda kuwa naye!? Hebu tuache mambo hayo
Tangu asubuhi, Ipad na simu zinzhusika na Zitto tu. Hizi ni mali za chama jamani. Ni amali ya CCM. Kwanini tuongelee Zitto wa CHADEMA? Tafadhali tuendelee na kazi zetu za chama kwakuwa utekelezaji wa Ilani yetu bado unaendelea na wanachi watatuhoji hapo 2014 na 2015 kwenye chaguzi.Hawatatuuliza kuhusu CHADEMA.
Tupige kazi makada wenzangu;ushindi wa 2014 na 2015 ni wetu!
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Cdm acheni ukaskazini. Mbona hao wakaskazini wanamadudu mengi lakini hawachukuliwi hatua? Zzk ni Mzalendo wakweli daima nitamheshimu kwa kutoa hoja zenye manufaa katika nchi masikini kama yetu. Katiba ikiruhusu mgombea binafsi Zitto simama. Kuna watu tuna imani kubwa sana na wewe ila hatuna imani na watu ulionao wanaokumbatia udini,ukanda na ukabila.
udini,ukanda na ukabila mmeuleta nyie?. Akiguswa Zitto tu hoja zenu ni hizo.. Kwa unafiki mnashabikia CCM ambayo kabla ya uchaguzi 2015 mtaihama kwa sababu hizo hizo!!! Utakuwaje CCM kisha ukawa mtetezi wa mpinzani kama wewe siyo mnafiki?Kuwaambia chadema wapeleke hesabu sao kwa Msajili ili sifikishwe kwa CAG kukaguliwa!
Wewe wajina tu huna hoja...Wilbroad Slaa,ndiye Masterminder wa hili picha lote hadi hapa tulipofikia,
Ukitaka kuliamin hili ni pale alipokuwa anawatuma vifaranga vyake kuja kumchafua zitto kisha yeye kutokea hapa hadharani kama katibu mkuu kuja kushngilia uovu ule,hilo amethibistisha kwamba yeye sia ina ya kiongoz anaestahili kupewa dhamana ya kuongoz taifa,,
Siku kadhaa zilizopita Slaa alitokeza kwenye vyombo vya habari na kuwaambia wananchi kwamba hawana tatzo na zitto ila kuna watu nje ya chama wanawagombanisha,watu hao ni CCM,,SASA LEO KIKO WAPI ANAGEUZA GARI BILA KUWASHA INDICATOR NA KUJA NA PICHA KAMA HILI??CHADEMA LAZIMA ITAMBUE KUWA HAIWEZ KUONGOZA NCHI KWA KUENDEKEZA SIASA ZA UKANDA NA UKABILA HATA SIKU MOJA
No... something is wrong.Naona CCM ndio wamehuzunika zaidi ya CDM... Something is right!!!!!!
Halafu unitake radhi;
aibu unaijua lakini;
Mi ni ccm; swali lingine sijui kama nitalijibu.