FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,886
- 109,218
Shikamoo ajuza!!
Marahaba dogo, hujambo? mama'ko hajambo?
Shikamoo ajuza!!
mimi nasubiri tu watakaposhindwa kuchukua madaraka 2015,kama mbowe ataendelea kuwa mwenyekiti wa kudumu ya cdm ama atawapisha wengine.Nazani sasa uchaguzi mkuu utafanyika kwa Amani aliyekuwa anaogopwa hayupo tena Mbowe amaepita bila kupingwa
Dr kitila mkumbo-singida
Zitto kabwe. -kigoma
Duh dhambi hii inawamaliza,poooooopoooooooooooozzzzzzz
Naibu Katibu Mkuu atakua JJ Mnyika au Joseph Mbilinyi au Godbless Lema
Maelezo yote haya hayaondoi ukweli kuwa ulichoandika ni tofauti na uaminicho. Wacha mdogo wangu kujikomba kwani mimi najua yale yote uandikayo. Chadema inawenyewe na kama huamini subiri hizo sababu za kushughulikiwa hawa jamaa ndio utanielewa.
...hahahahaaa! kuna mwingine aliuliza kwa nini Allah hakufanya watu wote wawe wa dini yetu? nini kilimshinda?Kama Yuda Iskariote asingefnya 'uyuda' na unafiki, mungu wenu angewakomboaje na dhambi zenu !?:A S-eek::A S confused:
mimi nasubiri tu watakaposhindwa kuchukua madaraka 2015,kama mbowe ataendelea kuwa mwenyekiti wa kudumu ya cdm ama atawapisha wengine.
Wanafukuzana kwa hisia halafu eti ndiyo tuwape waongoze nchi, hata sisi wananchi wao watakuwa wanatufanyia maamuzi kwa hisia, hawafai hawa ni genge la wahuni tu
mimi nasubiri tu watakaposhindwa kuchukua madaraka 2015,kama mbowe ataendelea kuwa mwenyekiti wa kudumu ya cdm ama atawapisha wengine.
Watu wengine bana mnachekesha kweli!!! Kwani Zitto ndiye alikuwa anawazuia MACCM yachukue nchi!? Kama ndivyo hivyo iweje yule anayewazuia MACCM kuchukua nchi awe kipenzi chao!?
Wanafukuzana kwa hisia halafu eti ndiyo tuwape waongoze nchi, hata sisi wananchi wao watakuwa wanatufanyia maamuzi kwa hisia, hawafai hawa ni genge la wahuni tu
nini makosa ya zitto na kitila mkumbo???
cc. mungi,molemo.
Zitto anatisha! usisikie ya kuambiwa.
Msiwasahau Godbless J Lema Ben Saanane na Yericko Nyerere kuziba mapengo. Hao ni vichwa kweli kweli.
Umepoteza wewe,hatutaki wanafki ndani ya chama,mwambie arudi Kigoma this time hapati kura hata moja labda ya familia yake..Ukabila, ukaskazini ndio uliomfikisha zito hapa. Namuelewa Zito na nitazidi kumuamini milele na milele. CDM Kimepoteza mwelekeo.
Wanasema Kitila aliongwa laki mbili na CCM.nini makosa ya zitto na kitila mkumbo???
cc. mungi,molemo.