Zitto na ACT yako mjiandae kisaikolojia

Zitto na ACT yako mjiandae kisaikolojia

Shaban Dede

Member
Joined
May 29, 2015
Posts
42
Reaction score
30
Naona mwisho wa Zitto sasa kisiasa ndio umefikia tamati baada ya EL ambaye alikuwa anampigania na kumtetea kupata fedha za umma kuendesha mikutano yake kufika tamati. Hadi sasa Zitto anajutia maamuzi yake ya kukubali kusaliti Chadema (rejea email ya ZZK kwenda kwa Nchema tarehe 9 July 2015) ukwapuaji wa fedha hizo sasa umefika tamati baada ya JP Magufuli kupita kwa kishindo kwenye mikutano Yao hapo Dodoma, Dr JP Magufuli hana makundi
 
Muwe mnajadili vitu vyenye akili , huyu naye anajiita great thinker kwa kusoma e mail ya kutengeneza tena yenye font tatu tofauti , sidhani kama kaka ulisoama hata std 7
Naona mwisho wa Zitto sasa kisiasa ndio umefikia tamati baada ya EL ambaye alikuwa anampigania na kumtetea kupata fedha za umma kuendesha mikutano yake kufika tamati. Hadi sasa Zitto anajutia maamuzi yake ya kukubali kusaliti Chadema (rejea email ya ZZK kwenda kwa Nchema tarehe 9 July 2015) ukwapuaji wa fedha hizo sasa umefika tamati baada ya JP Magufuli kupita kwa kishindo kwenye mikutano Yao hapo Dodoma, Dr JP Magufuli hana makundi
 
Bavicha bwana viroba vinawapeleka kubaya utumbo gani sasa umeleta hapa.Nenda kamdanganye lema kwa upuuzi wako kama huu ndo anaweza akakuelewa
 
kwa taarifa tu mkileta mambo ya kijinga tunapiga za ukabila ,magufuri anashinda na zitto atashinda kwao na ninyi na uchaga wenu mkashinde kwenu
 
Act-lazima nao itawachukua miaka ishirini kufikia mafanikio. si lahisi kuwa kwenye chati sasa, wazidi kuutambulisha uzalendo zaidi.
 
Naona mwisho wa Zitto sasa kisiasa ndio umefikia tamati baada ya EL ambaye alikuwa anampigania na kumtetea kupata fedha za umma kuendesha mikutano yake kufika tamati. Hadi sasa Zitto anajutia maamuzi yake ya kukubali kusaliti Chadema (rejea email ya ZZK kwenda kwa Nchema tarehe 9 July 2015) ukwapuaji wa fedha hizo sasa umefika tamati baada ya JP Magufuli kupita kwa kishindo kwenye mikutano Yao hapo Dodoma, Dr JP Magufuli hana makundi

Bavicha mnapenda sana story za vijiweni kama Dr Slaa!
 
pumba katika ubora wake. Zitto atakuwepo bungeni upende usipende bwe'ge we.

Naona mwisho wa Zitto sasa kisiasa ndio umefikia tamati baada ya EL ambaye alikuwa anampigania na kumtetea kupata fedha za umma kuendesha mikutano yake kufika tamati. Hadi sasa Zitto anajutia maamuzi yake ya kukubali kusaliti Chadema (rejea email ya ZZK kwenda kwa Nchema tarehe 9 July 2015) ukwapuaji wa fedha hizo sasa umefika tamati baada ya JP Magufuli kupita kwa kishindo kwenye mikutano Yao hapo Dodoma, Dr JP Magufuli hana makundi
 
kwa katiba ipi ----- wewe, yaani baqvicha hamna akilki kabisa , hata inayopendekezwa haipo hivyo
 
Sidhani kama una akili sawa sawa wewe....wa kupima wewe sio mzima
 
kwa taarifa tu mkileta mambo ya kijinga tunapiga za ukabila ,magufuri anashinda na zitto atashinda kwao na ninyi na uchaga wenu mkashinde kwenu

Mungu akurehemu hujui uliwazalo.
 
Mkishalewa gongo zenu pumzikeni tu, sasa ni nini umeandika hapa? Nani kakuambia safari ya LOWASSA imefika tamati?
 
Back
Top Bottom