nditolo
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 3,609
- 4,097
Wewe unaliwa matako, sio bureBora Membe yupo maana Lissu anaenguliwa na tume mapema sana
Wewe unaliwa matako, sio bureBora Membe yupo maana Lissu anaenguliwa na tume mapema sana
Hakuna wanafiki kama wana CCM bro na wizi na kila uhuni nyie pepo mtaisikia tuMwaka 2015 alimdanganya mama Anna Ngwila agombee yeye akakaa pembeni kucheck movie ya Ugombea. Lengo ajenge chama kwanza.halafu ajiwekee nafasi huko mbeleni.
This time wameenda mdanganya Membe Bernard. Mgombea asiye na mvuto kuwahi kuja kutokea katika vyama vyenye wafuasi zaidi ya mil 1.
Bernard Membe hana mvuto kisiasa hajui kuongea. Si mwanasiasa.si smart ktk siasa.huo ni ukweli. Ila Zitto Kabwe kamsukuma nenda kagombee utaungwa mkono.
Msikilize Membe anapohutubia anakera...jamaa unawaza aliwezaje kuwa kachero hata hesabu ya 1+1 inamsumbua hivi? Membe hana mvuto. Huwezi msikiliza membe. Na ni joka la kibisa. Hana meno hawezi hata kummeza mnyama.linakula unga linalala.
Siku Membe akina gundua alichofanya Zitto Kabwe kwake atalaani sana.naami kuna siku atapata akili.kwa sasa bado kujielewa.
Membe hajawahi kuongea vitu vya maana aisee.Membe akiongea unashangaa huyu jamaa kichwani yukoje... Havutii kabisa. Nadhani apewe kazi nyingine lakini asiwe anaongea.hana mvuto ,hana point. Nmeona akipata taabu huko zanzibar anaongea pumba tu. Hawezi changamsha au hamasisha.
Hili swali nadhani ulishalipatia majibuKwahio wewe una akili zaidi ya Membe ya kugundua hilo ambalo yeye hajagundua
Kichwa cha habari na utumbo havihusiani kbs - wapi Membe kahujumiwa? Yupo mwanasiasa asiyejua kwamba siasa ni mchezo ubadilikao?Mwaka 2015 alimdanganya mama Anna Ngwila agombee yeye akakaa pembeni kucheck movie ya Ugombea. Lengo ajenge chama kwanza.halafu ajiwekee nafasi huko mbeleni.
This time wameenda mdanganya Membe Bernard. Mgombea asiye na mvuto kuwahi kuja kutokea katika vyama vyenye wafuasi zaidi ya mil 1.
Bernard Membe hana mvuto kisiasa hajui kuongea. Si mwanasiasa.si smart ktk siasa.huo ni ukweli. Ila Zitto Kabwe kamsukuma nenda kagombee utaungwa mkono.
Msikilize Membe anapohutubia anakera...jamaa unawaza aliwezaje kuwa kachero hata hesabu ya 1+1 inamsumbua hivi? Membe hana mvuto. Huwezi msikiliza membe. Na ni joka la kibisa. Hana meno hawezi hata kummeza mnyama.linakula unga linalala.
Siku Membe akina gundua alichofanya Zitto Kabwe kwake atalaani sana.naami kuna siku atapata akili.kwa sasa bado kujielewa.
Mnahangaika na Zitto hizo ndo hulka zake nawashangaa mnahangaika na huyo mtu chama ni CDM tu hata Kama kuna kasoro ndogo ndogo zitarekebishwa.Zitto is after business.To him money is the first slogan.Mwaka 2015 alimdanganya mama Anna Ngwila agombee yeye akakaa pembeni kucheck movie ya Ugombea. Lengo ajenge chama kwanza.halafu ajiwekee nafasi huko mbeleni.
This time wameenda mdanganya Membe Bernard. Mgombea asiye na mvuto kuwahi kuja kutokea katika vyama vyenye wafuasi zaidi ya mil 1.
Bernard Membe hana mvuto kisiasa hajui kuongea. Si mwanasiasa.si smart ktk siasa.huo ni ukweli. Ila Zitto Kabwe kamsukuma nenda kagombee utaungwa mkono.
Msikilize Membe anapohutubia anakera...jamaa unawaza aliwezaje kuwa kachero hata hesabu ya 1+1 inamsumbua hivi? Membe hana mvuto. Huwezi msikiliza membe. Na ni joka la kibisa. Hana meno hawezi hata kummeza mnyama.linakula unga linalala.
Siku Membe akina gundua alichofanya Zitto Kabwe kwake atalaani sana.naami kuna siku atapata akili.kwa sasa bado kujielewa.
Mkewe umekuja na khanga moja huku unatoa povu kila sehemu ya wazi ya mwili....Kichwa cha habari na utumbo havihusiani kbs - wapi Membe kahujumiwa? Yupo mwanasiasa asiyejua kwamba siasa ni mchezo ubadilikao?