Mtu Asiyejulikana
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 1,694
- 3,981
Mwaka 2015 alimdanganya mama Anna Ngwila agombee yeye akakaa pembeni kucheck movie ya Ugombea. Lengo ajenge chama kwanza.halafu ajiwekee nafasi huko mbeleni.
This time wameenda mdanganya Membe Bernard. Mgombea asiye na mvuto kuwahi kuja kutokea katika vyama vyenye wafuasi zaidi ya mil 1.
Bernard Membe hana mvuto kisiasa hajui kuongea. Si mwanasiasa.si smart ktk siasa.huo ni ukweli. Ila Zitto Kabwe kamsukuma nenda kagombee utaungwa mkono.
Msikilize Membe anapohutubia anakera...jamaa unawaza aliwezaje kuwa kachero hata hesabu ya 1+1 inamsumbua hivi? Membe hana mvuto. Huwezi msikiliza membe. Na ni joka la kibisa. Hana meno hawezi hata kummeza mnyama.linakula unga linalala.
Siku Membe akina gundua alichofanya Zitto Kabwe kwake atalaani sana.naami kuna siku atapata akili.kwa sasa bado kujielewa.
This time wameenda mdanganya Membe Bernard. Mgombea asiye na mvuto kuwahi kuja kutokea katika vyama vyenye wafuasi zaidi ya mil 1.
Bernard Membe hana mvuto kisiasa hajui kuongea. Si mwanasiasa.si smart ktk siasa.huo ni ukweli. Ila Zitto Kabwe kamsukuma nenda kagombee utaungwa mkono.
Msikilize Membe anapohutubia anakera...jamaa unawaza aliwezaje kuwa kachero hata hesabu ya 1+1 inamsumbua hivi? Membe hana mvuto. Huwezi msikiliza membe. Na ni joka la kibisa. Hana meno hawezi hata kummeza mnyama.linakula unga linalala.
Siku Membe akina gundua alichofanya Zitto Kabwe kwake atalaani sana.naami kuna siku atapata akili.kwa sasa bado kujielewa.