Binti Sayuni Tz
Senior Member
- Nov 25, 2015
- 156
- 238
Matusi ndiyo taaluma yenu hata hatuwashangai.Kaoshe uchi kwanza unatoa harufu ya panya aliyekufa.
Matusi ndiyo taaluma yenu hata hatuwashangai.Kaoshe uchi kwanza unatoa harufu ya panya aliyekufa.
Sawa binti unayejiita Sayuni. Angalia usiwe binti saluniUjuaji wenu ndiyo unaopoteza kama hukujiandikisha usitarajie utapiga kura.
Sawa binti saluni. Mimi sikurudisha cha zamani na jina langu lipo kudadeki. Naona walianza kuniogopa mapema maana mwaka huu tunaichimba ardhi kuondoa mawe yote!Hapo ndipo mlipopotea vitambulisho vilibadilishwa. Ulikuwa unarudisha cha zamani unapata kipya. Na majina yakabandikwa. Matokeo yake mtakuja kuanza kupiga kelele eti majina hayapo kumbe hakujiandikisha.
piga hesabu ya kizazi cha shule za kata 2010-2015-2020 halafu hao ndio waliojaa mtaani na vyuoni sasa hivi ambao wengi hawamjui nyerere,wala mkapa wala mwinyi wao wanamjua jk tu halafu hawaitaki ccm kufa kupona,so usishangae TL akazoa kura za kutosha ulimwengu ukageuka juu chini,na ukumbuke tu vijana waliokosa ajira since 2015 hadi leo ni wangapi,na walipoamua kujiajiri kwenye kilimo na biashara wakakutana na majanga 100%, can u imagine how angry r they?....JIWE IS A WORSE THING IN OUR COUNTRY,HE MUST GO!!Lowasa huyo huyo asiyejua kumwaga sumu alizidi asilimia alizopata Dr Slaa 2010!
Ina maana Lowassa alimwaga sumu kuliko Dr Slaa?
Jipeni matumaini chama cha mjini wakati wapiga kura wako vijijini, sana sana mtaishia kufanya vurugu mnakutana na mkono wa dola ulio madhubuti.Sawa binti saluni. Mimi sikurudisha cha zamani na jina langu lipo kudadeki. Naona walianza kuniogopa mapema maana mwaka huu tunaichimba ardhi kuondoa mawe yote!
mkuu kuna ndoto zingine unapaswa kuziangalia kabla ya kuzisema.....Habari hii ni mbaya sana kwa wale wachawi na wapiga ramli chonganishi hasa kutoka kile chama pendwa.
Watakuwa wamefura vilivyo kwa hasira na mapovu mdomoni mithili ya waliomeza OmO.
Wanaendelea kuishiwa na ya kusema.
Hakuna kinachoonyesha matumaini kwa upande wao. Kwa sala na suala majibu yanaendelea kuwa negative.
Eeh mola wetu na ukawaonyeshe ukuu wako na kuwa kamwe hakuna Mungu kama wewe.
Zazwa la ufipa linajiona smart anadhani watu wote wazungusha mikono kama ma loser wa Chadomo.Wewe ni hopeless huwezi ukawa askari utakuwa mwanasaccos tu acha kujifika uaskari.
Kuondoka CCM huu mwaka haiwezekani ilishindikana wakati wa lowasa sembuse Leo.
Aiseee Sumu wanazomwaga kina lissu na membe ,ukija kujumlisha mambo watakayofanya kama wakichaguliwa JIWE HATOBOI.Lowassa alikuwa hajui kumwaga sumu kwa kutumia mdomo wake. Lissu anamwaga sumu acha kabisa.Hapo CCM wanatamani wamuue tu.
WamechAnganyikiwa wapenzi wa jinsia moja hao
Mgombea atakuwa mmoja ACT NA CHADEMA
Mwalimu wa matusi ni yule aliyepita pale dumila juzi akawaambia wanawake wampanulie.Matusi ndiyo taaluma yenu hata hatuwashangai.
Kwa kumaradona mtaingia madarakaniHata waungane Magufuli ndio Rais mpaka 2025
Fanyeni haraka hayo mazungumzo kwani siku ya Uteuzi ya NEC ni in the next seventeen days. Si muda mrefu hasa ukizingatia na kutilia maanani kuwa Lissu anautaka Urais kufa na kupona na Membe anautaka Urais kufa na kuzikana!
Magufuli ni chaguo la wengi! Hayo ndiyo maoni ya Watanzania.Nani kakuuliza?
Lowassa alichafuliwa fisadi,mgonjwa. Ukizingatia alikuwa hawezi kuongea na kujitetea na kumwaga Sumu. Lowassa angekuwa kwenye hali nzuri ya kuongea,angeshinda.