Niliwahi kuuliza Mara tatu humu jf, kwanini kila zito akiwa kigoma hata kama ni kijijini kwake vyombo vingi vinaripoti kila anachofanya? Huwa anasafiri nao na kuwalipa? Kama anafanya hivyo lengo lake ni nini?
Mhh hii nchi bwana dah. Sijui tunakwenda wapi?mara huku zito wamemfunguli kesi ,mara huku lema wamempiga ,huku wamezima mkutano wa chadema dah sijui tunakwenda wapi , ila haya mambo yanamwisho wake kila kitu na zama zake.
Pole vijana ndo siasa na lengo la kuwakomboa watanzania lazima hayo yawakute tu.
Ushauriiiiii jeshi la polisi liongeze wasomi kuliko hawa askari walioko sasa ambao wanatumia vyeti vya kaka zao,wajomba zao etc.
Mbona Zitto alikuwa humu JF half hour ago. Au ni double face!!
Zito jenga chama acha kuongea sana
Kwa huu usanii unaochezwa kati ya Zitto Kabwe na Mafisadi kwa kutumia vyombo vyetu vya TBC, Mahakama na magazeti mbali mbali, sitopendezewa kusikia POLISI wakilaumiwa humu.
Kwa watu tuliokesha usiku wa jana, kulikua na RIPOTI ya mapema sanaaa tu kwamba itakapofika mida ya mchana mchana hivi hala sasa eti ni breaki new humu -- Miguu yangu, bure kabisa!!!
Zitto kama njia tulizokupa hapa JF zimekushinda kufuata basi usijisumbue kutushirikisha ndani ya anguko lako.
Ila pia kijana zito unaongea sana thus y hata sisi vijana wenye lengo la kuikomboa tanzania tuna kuwa na mashaka nawe. Y unaongea sana. Mana leo nimepitia gazeti la mwananchi ukiwa katika mkutano wa hahdara kigoma unasema wazako chadema wanachuki na wewe,na unataka kugombea uraisi!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Mbona mapema sana plz kijengeni chama kwanza mana bila kufanya hivyo hata ukija gombea urais itakuwa kazi bure mana chama kitakuwa hakina nguvu .
Plz zito acha kuongea sana na sasa ukiwa kama katibu msaidizi,zama katika malango ya kujenga chama na si vinginevyo.
Zito jenga chama acha kuongea sana.
dah!huyu jamaa hata akipigwa risasi mi sina imani naye,mi naona amepanga na ccm aonekane mpiganaji kama godbless lema,huyu jamaa sina imani naye
KIBE hii ni post yako ya siku ya christmas 2010, naona ZZK kaanza zamani sana kutangaza nia ya kugombea urais. Tumpe sapoti na kumuombea kwa mwenyezi Mungu amjalie afya njema.Ila pia kijana zito unaongea sana thus y hata sisi vijana wenye lengo la kuikomboa tanzania tuna kuwa na mashaka nawe. Y unaongea sana. Mana leo nimepitia gazeti la mwananchi ukiwa katika mkutano wa hahdara kigoma unasema wazako chadema wanachuki na wewe,na unataka kugombea uraisi!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Mbona mapema sana plz kijengeni chama kwanza mana bila kufanya hivyo hata ukija gombea urais itakuwa kazi bure mana chama kitakuwa hakina nguvu .
Plz zito acha kuongea sana na sasa ukiwa kama katibu msaidizi,zama katika malango ya kujenga chama na si vinginevyo.
Zitto,
Kuna watu wako bent on "Character Assasination".
Wewe unapata matatizo kama haya na wao wanatumia matatizo yaliyokufika kukukandamiza.
CHADEMA ni Chama cha watu fulani na wewe ulishawahi kumchallenge mmoja wao...hao watu wana visasi sana.
Angalia sana...
Criminal Case no. 10 of 2010
Republic versus ZITTO ZUBERI KABWE
CHARGE: STATEMENT OF OFFENCE
UNLAWFUL RESCUE OF A PERSON UNDER LAWFUL CUSTODY; Contrary to section 115(1)(c) and 35 of the Penal Code (CAP.16 R.E 2001).
PARTICULARS OF OFFENCES
ZITTO ZUBERI KABWE on 27 day of October 2010 at about 11:00 hours at Mahembe Police station in Kigoma District and Kigoma Region by using force did rescue PETER KIBWEGA who was under lawfully custody of police at Mahembe police station.
======================================