Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Nadhani amesha pona huyu jamaa !! Arudi nyumbani basi tujadili mambo ya kitaifa
Aiseee !!Halafu jamaa anakopa kununua ndege ili apate 10%
Siku raia tukijua mbaya wetu tutakifuta kizazi chao chote cha sisiemu kwa petrolSerikali ya wanyonge umekopa kila mahala, mifuko ya hifadhi ya jamii inaelekea kufirisika,mfuko wa bima ya afya, mabenki hadi vikoba.
Wakisimama mishipa inawatoka, ni pesa zetu za ndani, hatukopi, hela ipo, hii dona katri. Baadae unasikia tunakopa kwa sababu uwezo wa kulipa tunao.
Na bado, miaka 5 ndio itakua balaa.
NHIF ni maiti inayotembea , watoa huduma wamekopwa hadi wengine wamefirisika !Serikali ya wanyonge umekopa kila mahala, mifuko ya hifadhi ya jamii inaelekea kufirisika,mfuko wa bima ya afya, mabenki hadi vikoba.
Wakisimama mishipa inawatoka, ni pesa zetu za ndani, hatukopi, hela ipo, hii dona katri. Baadae unasikia tunakopa kwa sababu uwezo wa kulipa tunao.
Na bado, miaka 5 ndio itakua balaa.
Deni la taifa ni himilivu kabisa kabisa
Jamaa Unatafutwa Na Police, Kuweka Avatar Tata!!!Serikali ya wanyonge umekopa kila mahala, mifuko ya hifadhi ya jamii inaelekea kufirisika,mfuko wa bima ya afya, mabenki hadi vikoba.
Wakisimama mishipa inawatoka, ni pesa zetu za ndani, hatukopi, hela ipo, hii dona katri. Baadae unasikia tunakopa kwa sababu uwezo wa kulipa tunao.
Na bado, miaka 5 ndio itakua balaa.
Wakija kushika njia za uchumi kwa kushindwa kulipa madeni mtaanza kuwaita mabeberuHoja sio kukopa, hoja ni kama unaweza kukopeshwa!
Halafu kadri unavyokuwa na uwezo wa kulipa ndivyo unavyokuwa na nafasi ya kukopeshwa zaidi. Ndio maana mikopo ya nchi za Ulaya na Marekani ni mikubwa ukilinganisha na nchi za Afrika.
Hii inaenda hata kwa mtu mmoja mmoja.
Sent from my iPhone
Tunakopa kwa kwa pupa tu kwa kisingizio cha kuwa bado tuna nafasi ya kuzidi kukopa kutokana na ukubwa wa deni hil kuwa himilivu, hawajali ni kwa kiasi tunakaribia kufikia "ceiling level" ya uhimilivu huo.