PumziNdefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 561
- 1,228
Ndio maana yake, kwani hawa malimbukeni ustaarabu kwao ni udhaifu.
Mkuu samahani kwa hilo kosa, nimewasiliana na Mods wanisaidie kwani hili liko nje ya uwezo wangu.Badilisha tarehe kwenye kichwa Cha Habari mkuu..kipindi hiki Cha mwexi ukikosea kosea tarehe unatuumiza kisaikolojia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lolote linawezekana kwenye huu utawala wa washamba
Wametishia kuifuta ACTMsajili wa vyama kamtishia zitto nini au Magu? Manake hawachelewi.
Ndukiiiii 🏃♂️🏃♂️🏃♂️