KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,139
[h=3][/h]
WABUNGE wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wanatarajiwa kuungana na timu ya soka ya Simba kwenye mechi yake ya marudio ya kombe la Shirikisho (CAF) dhidi ya Es Setif ya Algeria wiki ijayo nchini humo.
RAGE
ZITTO
ZUNGU
MANGUNGU
WABUNGE wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wanatarajiwa kuungana na timu ya soka ya Simba kwenye mechi yake ya marudio ya kombe la Shirikisho (CAF) dhidi ya Es Setif ya Algeria wiki ijayo nchini humo.
Mwenyekiti wa Simba, Alhaj Ismail Rage ambaye pia ni Mbunge wa Tabora Mjini (CCM) alisema wabunge hao wenye mapenzi na timu hiyo wanakwenda huko kwa ajili ya kuipa sapoti timu hiyo katika mchezo huo muhimu.
Aliwataja wabunge wengine