Mgoroko
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 769
- 442
Hizo ni ndoto za mchana.Safi sana hivyo ndivyo inavyotakiwa!
JPM must be politically Challenged, na akipigwa pressure ya maana kutoka kona zote ndani ya upinzani, civil service, wafanyabiashara, upinzani ndani ya CCM kwa hulka yake jinsi ilivyo lazima atachanganyikiwa na ni lazima atafanya miscaluculations tu, halafu upinzani unapitia hapo hapo!!
Huyo Kigogo aje haraka sana ili dynamics za siasa nchini zibadirike!!!
Kama ni brother Membe hiyo imekaa poa sana!!!
Sent using Jamii Forums mobile app