Zitto: Kigogo kutoka CCM ambae aliwahi kushika nafasi nyeti serikalini, kukabidhiwa kadi namba 2 ya uanachama wa ACT Wazalendo

Hii sheria ya vyama vya kisiasa inaenda kuharibu ndoto za watu wengi sana... Example Nape, Mwingulu, Makamba etc... Ndani ya ccm wasifikiri wapo salama wakidhani hii sheria itawaumiza wapinzani pekee

Walengwa wakubwa wa sheria hii ni wana ccm. Wao ndio wanahofiwa kuhamia vyama vya upinzani kutokana na chama chao kubinafsishwa na kupoteza sifa za kuitwa chama cha siasa. Wana-ccm hawana amani. Rais mstaafu Mkapa amesema viongozi wa Afrika are extremely selfish and short sighted. Aisifuye mvua imemnyea!
 
Kura zingekuwa zinapigwa kwa jinsi mnavyoshabikia kuanguka kwa Serikali inayongozwa na Magufuli, upinzani ungeingia Ikulu.

Lakini ukweli nguvu ya upinzani iko mitandaoni tu siyo kwa wapiga kura. Maana wakati Serikali inashughulikia kero za wapiga kura, viongozi wa upinzani wanahangaika kudai demokrasia, uhuru usio na mipaka na wajibu pasi kuwajibika.

Sent using Jamii Forums mobile app

Uhuru usio na mipaka! You must be kidding. Nimekuwa nikijiuliza, hivi wakoloni wa Kiingereza walitufanya hivi? Sijasoma mahali popote! Inaelekea tulikuwa na uhuru mkubwa zaidi chini ya wakoloni kuliko sasa.
 
Ni jambo zuri lakini zito awe makini sana na mamluki, CHADEMA tumeshang'atwa na hii mi mamluki ni bora kutafuta wanachama asilia maana bado Kuna watu wengi wasio na vyama ni suala tu la kuwaelimisha na kuwashawishi, yaani mimi binafsi hii mi mamluki siikubali kabisa.

Chadema hamjang'atwa chochote. Mlopata faida kubwa. Yule Mzee hakuwa na faida tena kwenu. He did you a big favour leaving at the most opportune time and very quietly; without much ado. Mzee amestaafu siasa, mwacheni akapumzike kwa amani.
 
#SafariIendelee
D2WXbOjXQAM_Loq.jpg
Wakitaka kjiunga muwape kwanza masharti ya kukijenga chama kwa muda flani ndio waje wapate nafasi za uongozi ndani ya chama na nafasi za kugombea nafasi mbali mbali za kitaifa. Ili kuepuka aliyo yafanya mzee Lowassa.
 
Hebu tijitafakari, nani aliyekuwa waziri awamu ya 3 na ya nne amabaye anaweza keta mabadiliko .

Wale wazee wa awamu ya 3 wamechoka, wa awamu ya kikwete wanapwaya sana. Huyo atakuwa menbe tuu naye hana wafuasi wengi na ni mzigo, na alikuwa mzigo hata kwa kikwete.

Zitto asijisifue waziri aliyekuwa akimtukana na kumponda, leo akawa rasili mali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha uongo! Eti umegoma! Sema watu wamekugundua kwamba nawe ni MNAFIKI MKUBWA usiye na msimamo ulio THABITI. Utadhani huyo nduli wa magogoni alipakuwa ubongo wako wote na kujaza matope yaliyochanganyika na uchafu. Usidhani Watanzania wote ni Wapumbavu.
Hahaha kaka nilikuwa napitia comment tu ila umenifanya nilog in nikusalimie,naona umemuweka huyu mzee pale anapostahili
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kabisa aisee! Huyu alijitengenezea jina kubwa sana hapa jamvini na heshima tele kwa kusimamia uhuru na haki za Watanzania na maslahi ya Taifa. Awamu hii kageuka kabisa na kuamua kuwakumbatia waovu.

Mzee amepoteza heshima jukwaani
 
Hivi watanzania hatukujifunza lolote kutoka kwa Mzee Ngoyai Lowassa....hahahaha! Au tumesahau ACT ilianzishwa na masisiemu kwa ajili ya kudhoofisha UKAWA, tena kwa pesa zetu za mifuko ya hifadhi za jamii ambayo taratibu imejifia! Atakayedhani kigogo wa kadi #2 ni habari nzito basi ubongo wake umejaa masizi! na ni punguani, full stop!
Tunaomba source.
Usituletee story za hangover
 
This is a mistake, haya ndio moja ya makosa ya Zitto, yuko too impulsive, vitu kama hivi hakutakiwa kusema kabla, alipaswa to take them by surprise.
P
Hata hivyo huyo anayeitwa kigogo atakuwa hana madhara 2020 maana sheria ya vyama vya siasa imeshasainiwa.
 
Back
Top Bottom