Zitto Kabwe waziri mkuu 2015, serikali ya UKAWA

Zitto Kabwe waziri mkuu 2015, serikali ya UKAWA

msemakweli

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2014
Posts
1,627
Reaction score
880
Leo nilipokuwa katika pitapita zangu nimeshangaa kila kona watu wamtune TV zao na redio zao wanalifuatilia Bunge kama vile ni tamdhilia ya kusisimua au kombe la dunia. Nikakutana na kundi kubwa la vijana waksema kuwa mhe zitto ni jembe na anapaswa awe waziri mkuu wa serikali ya awamu ijayo ya UKAWA. Jamani kweli anafaa au hafai???
Mimi binafsi namkubali sana huyu jamaa!
 
Asante sana mkuu, nami nasema mimi kama Zitto Kabwe sitawaangusha, nipeni nafasi nifanye maajabu.
 
Last edited by a moderator:
Nimemkubali sana huyu jamaa! Mzalendo wa kweli to the bone..! Chapa kazi kijana watanzania wameshakunote!
Hatuwezi kuongozwa na mchawi siye anayeishi kwa kutumia waganga wa kienyeji kama alivyo zitto hiyo serikali itakuwa ya namna gani.
 
  • Thanks
Reactions: R.B
Anachapa kazi kwa kudanganya bunge?

IPTL waliwekeza 50,000 zile machines zimekuwa ni mishumaa zile?
 
Kwangu mimi ni DK ndio mpango mzima, kijana nondo sanaaaaaa
 
Mtatoka povu sana, wananchi wameshajua mkweli ni nani?
 
Hatuwezi kuongozwa na mchawi siye anayeishi kwa kutumia waganga wa kienyeji kama alivyo zitto hiyo serikali itakuwa ya namna gani.

Na kwa hili halivyolisimamia bado umelala tuu huoni, Mpe haki yake acheni fitna na uzandiki bwana..kafanya kazi nzuri, kasimamia ukweli mpaka leo hii wamekubali na makando kando yote yameonekana, Think..sio kwasababu unavidole na internet ya bure baasi unabwabwaja tuu
 
Siku hizi watu wrote no wachawi yesu akirudi hamkuti MTU wrote wamekalia vijini vyao Kila MTU anakajini make mfukoni sokoni officin kwe biashara yaaan sembuse Hugo bungen tens Hugo atakuwa amelibeba like kubwa babalao LA vijini vyenu vile vya mfukoni hahaha bila bila
 
Back
Top Bottom