Zitto Kabwe: Nyerere wangu mimi!

You must be stupid questioning someone's vision, ambitions or plans!!

Even kids wants to be pilots, doctors, engineers! whats wrong with that??

please format your brain
Wapingaji watapinga kila kitu,watayakataa mpaka majina yao ili kutimiza malengo yao!sijui kama Zitto amekosana na chama au wanachama ?naona chuki zimepitiliza!
 
This ends up talking more about Zitto than Nyerere.
You nail it Kiranga!Mr Zitto was simply celebrating Mwalimu's life highlighting his own experience during Mwalim's era.We should have focused on that but see where the discussion is heading now!
 
Mbona kila kitu anamtaja mama Shida Salum pekee? Huyo baba mzee Kabwe vipi? Yeye kama anautaka uongozi wa juu ajue hakuna cha kuficha juu ya maisha yake. Hata kama mzee aliachia ngazi kwa tabia mbovu za mama aweke hapa hadharani.

Mmeshindwa kwenye siasa sasa hivi mnataka kuzungumzia maisha binafsi ya familia ya Zitto tena hamna uhakika.
 
You nail it Kiranga!Mr Zitto was simply celebrating Mwalimu's life highlighting his own experience during Mwalim's era.We should have focused on that but see where the discussion is heading now!

Sasa wewe ukisoma hio post ya Zitto, imemwongelea zaidi Nyerere au Zitto.
Usijibu haraka tulia kwanza.
 
hii ya kuzungusha mkono juu ya kichwa kugusa sikio ili uingie darasa la kwanza, iliishia miaka ya mwanzo ya 1970's!!! huyu wa 1980's kakopy na kupest kunogesha story!!!!
 
mtu asubuhi anajifanya mjamaa wa kweli wa kukumbuka hisani ya mwalimu wakati ule - Elimu bure, Haki sawa kwa wote nk Then jioni yupo na mafisadi wanagonga glass huku wakipanga mikakati ya kuua upinzani - huyo mtu ni hatari sana.
 
You must be stupid questioning someone's vision, ambitions or plans!!

Even kids wants to be pilots, doctors, engineers! whats wrong with that??

please format your brain

Povu Povu Povuuuuu!!!!! kwani kusema Nyerere alisema hivyo ni kosa??!!kwani si kweli Nyerere alikuwa na VISION hiyo??!!
 
nimependa sana hii speach lakini mwalimu nyerere akuwa msaliti na nyuso mbili kama wewe unajifanya mpinga mafisadi lakini hao unaowapinga unakaa nao na kura nao pesa za wizi na kuandaa nao mikakati ya kuvuruga upinzani kisa umimi mwalimu akuwa mbinafsi hakutaka madaraka kama unavyotaka wewe kuongoza chadema kwa kutumia njia ya kuvuruga chama mimi kwa wewe hauniongopei wewe ni mamluki ni mnafiki na ni muongo acha kuraghai watanzania badilika rudi kundini omba wakusamehe
 
Mmeshindwa kwenye siasa sasa hivi mnataka kuzungumzia maisha binafsi ya familia ya Zitto tena hamna uhakika.

Kwani hii topic anazungumzia nini zaidi ya maisha yake binafsi? Sasa akihojiwa kuhusu alilolianzisha inakuwa nongwa? He
 
Hii tabia ya wanasiasa kuonea ufahari umasikini imeanzaje?
 
Dah!
Post ni nzuri na inatukumbusha tulikotoka na vision za baba wa taifa katika usawa wa binadamu kama moja ya misingi mikuu.
Nakumbuka pia tulikuwa JKT Bulombora na watoto wa kina Mzindakaya tulifoleni kwenye ugali bila kubaguliwa chini ya kina afande Kaitira na kina Nyangusi.
Zitto alitaka tu kuonyesha huu usanii unaoimbwa na viongozi wetu kuwa wanamuenzi mwalimu. Ukiwauluza watoto wao wanasoma shule gani ili uone huo usawa!
Wanaimba kuanzisha shule za kata ambazo kiuhalisia ni shule za daraja la chini sana,lengo lao ni nini watawala wetu hawa? Ni kuandaa watoto wao kuendelea kukalia madaraka!
Nani atamaliza Nyakitondo secondary school then akutane na product ya UK siku ya interview ya kazi na aweze kushinda?
Zitto uko sawa kabisa.......mnyonge mnyongeni haki yake mpeni!
 
Kwenye maelezo yako bwana zito kiswahili nacho Shida KAPTURA au KAPTULA ungefanya marekebisho ingekuwa vyema
 
Usituletee unahii wako hapa! Hivyo ni vitu viwili tofauti unavyo vizungumzia wewe.

Sent from my SM-G800H using Tapatalk

Acha ushabikii mkuu,usipende kudanganywa na ilhali anayekudanganya anajua kuwa anakudanganya.Atakudharau.
We kama mtu alisema alisoma kwa sababu alikulia kwa babu,aliyekuwa kiongozi japo hakujua kusoma na kuandika na leo aseme alisomeshwa level hiyo hiyo ya msingi na alipelekwa shule na mama yake atuacha kupata shaka na kuomba kumbukumbu ziwekwe sawa?
Sina shida na Zitto,ila kanikanganya kidogo kwenye hizo storyy mbili.
 
Nyerere hakuwa na price Tag Mgongoni kwake! Wengi walijaribu kumrubuni lakini walishindwa! Nyerere alipinga siasa za ukabila na ukanda kwa nguvu zote! Nyerere alikuwa na msimamo thabit hakuyumbishwa hata siku moja! Nyerere hakutumiwa na Makaburu weupe wala weusi alikuwa anawapa za uso! Zile Transactions za Ujerumani plus Deals za Kuvuta fedha za EPA kwa Ballali, ukiongezea na Ukimya wa Buzwagi saga plus Matrillions za Uswis zinamfanya ZZK kuonekana kikaragosi cha mtoto wa kindagaten Mbele ya Nyerere... Acheni Kumtusi Baba wa Taifa... RIP Mwalimu
 

Kweli yako nyerere hakubagua kati ya msukuma na mnyamwezi, lakini Jeshini aliwajaza wana Musoma kibao. Na pia alikuwa mkatoliki sana.
 

Chanzo: Zitto Kabwe blog

My Take:
Najua kuna watu mtakaopinga kwa maslahi yenu binafsi, ila hapa ni ukweli usiokuwa na itikadi!

 
Zitto amenikumbusha enzi zile wakati ambapo watoto wa mkuu wa mkoa/wilaya walisoma shule moja na watoto wa walalahoi na tuliheshimiana kwa uwezo wa kichwa darasani!
 
ZZK.
UNATAMANI MAISHA AMBAYO WOTE TUNAYATAMANI. lakini kuna jinsi ambavyo wengi humu hawataelewa kwa sababu mambo uliyoyaeleza kwa wengine ni hadithi tuu na historia ambayo hawajawahi kuishuhudia. umeorodhesha UZURI WA KUWA NA USAWA BAINA YA WANAJAMII na hilo hata mimi nalitamani sana. lakini kwa namna ya kifasihi ambayo mbururas wengi humu wanaweza wasielewe, umeelezea mateso na ugumu wa maisha ambao watanzania tuliupitia kipindi cha mwalimu nyerere. kuvaa viraka,kusomea chini ya miti, kutokuwa na viatu na kula unga wa yanga. hili watu hawataliona kutoka kwenye andiko lako maana wengi wao hawana akili hiyo.
by the way. you might be the one and only modern politician to live you dreams and exercise you preaches. waliobaki wooote ni chenga tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…