Kumekucha !View attachment 874355View attachment 874356
Zitto kaona kitu gani ambacho hakiendi sawa hadi akatoa ushauri wa aina hii, hebu tusaidiane kulijua hilo janga linalotunyemelea.
Nafikiri yeye Zito ndio anahitajika kupimwa akili. Hivi unawategemeaje mawaziri wa ccm wamshughulikie bosi wao? Yaani zitto anaiponda ccm ila bado anadhani hiyo hiyo ccm itamsaidia kumtoa rais. Ni akili za kijinga sana hizi.View attachment 874355View attachment 874356
Zitto kaona kitu gani ambacho hakiendi sawa hadi akatoa ushauri wa aina hii, hebu tusaidiane kulijua hilo janga linalotunyemelea.
Hasira za kutoswa na Magu,Akimfikiria Ktla na Mghwira roho inamuuma kinyamaKabisa, huyu jamaa hajitambui, Zitto atakuwa na matatizo tu, mana kila wakati anakurupuka na hoja ambazo hazina kichwa wala miguu
Tanzania itatuchukua muda sana kupata maendeleo endelevu
Ha! Ha! Ha! pori limepigwa kiberiti vicheche wote nje kudadeki !Nafikiri yeye Zito ndio anahitajika kupimwa akili. Hivi unawategemeaje mawaziri wa ccm wamshughulikie bosi wao? Yaani zitto anaiponda ccm ila bado anadhani hiyo hiyo ccm itamsaidia kumtoa rais. Ni akili za kijinga sana hizi.
Vinginevyo tukubali zitto kaishiwa hoja sasa anatapatapa.
Too lowJe Katiba ya Tanzania ipigwe marufuku au hiyo ibara ifutwe ?
Mbona una sound za kimama?Hahahaha
Duh hii ni funga mwaka walahi uwiii
akiitwa central utabadili huu msimamo wako?Halafu bado analalamika uhuru wa kutoa maoni umefinywa.
Upo sahihi mkuu, kizazi cha sasa kinafikiri nchi ilikuwa hivi na hakitaki kujua au wanajifanya hawajui historia ya nchi yetu. Wanachojua nina kujifananisha na nchi za magharibi hawatambui maendeleo ndo yanawafanya wajue magharibi kukoje, wakati enzi hizo hata kupata matangazo ya RTD (TBC TAIFA) ilikuwa taabu, na familia nyingi hazikuwa na hiyo radio ya mkulima, leo wanatamba na online radio, tv, social media halafu wanabana pua hakuna maaendele. Hovyo sanaWatoto waliozaliwa Baada ya Nyerere ndio wanazungumzia 'kupata maendeleo'
Sie tuliokuwepo kitambo Na tunajua definition ya Maendeleo tunajua Maendeleo Ni Safari Na hakuna Hata Taifa Moja limefika Mwisho wa hiyo Safari Na Sie hatujafikia Mwisho wa hiyo Safari Ila tungepiga hatua Alhamdulillah
Kutoka kushangaa Mwanafunzi anaekwenda Shule kavaa viatu mpaka Leo tunashangaa aseivaa viatu , tulikuwa tunashangaa Mtu Mwenye simu ya Mkononi mpaka Leo tunamshamgaa asie Na Simu ya Mkonon kutoka kushangaa anaefaulu Darasa la Saba mpaka Leo tunashangaa anaefeli, kutoka kumshangaa anaemkosoa Rais mpaka Leo tunamshamgaa asiemkosoa Rais
Maendeleo yapo Sana Sana unless otherwise umezaliwa hivi karibuni
Mie nadhani Zito ndio ana matatizo ya akili , hawezi kusema Rais ana matatizo ya akili wakati anatutendea makubwa watanzania tulio mchagua na kila aliloliahidi anatutekelezea .Zito kazi yake kubwabwaja tu . Hatutaki kumsikia mtu wa aina hii sie tunataka maendeleo na sio siasa. Mungu mbariki Magufuli.View attachment 874355View attachment 874356
Zitto kaona kitu gani ambacho hakiendi sawa hadi akatoa ushauri wa aina hii, hebu tusaidiane kulijua hilo gharika linalotunyemelea.
Akiitwa, ameitwa?akiitwa central utabadili huu msimamo wako?...