Zitto Kabwe na kujiuzulu kwa Professa Kitila Mkumbo ni ushahidi mwingine wa upinzani uchwara wa Tanzania

AUGUSTINO CHIWINGA

JF-Expert Member
Apr 23, 2017
220
689
Nimekaa nimetafakari sana kitendo cha Professa Kitila Mkumbo kuamua kujiuzulu uanachama na uongozi katika chama cha ACT-Wazalendo.

Ameelezea sababu iliyomfanya ajiuzulu ni mgongano wa kimaslahi uliopo baina yake yeye aliyepo Serikalini na chama chake, inamuwia vigumu pale anapowaelezea kuhusu mafanikio ya Serikali ,na mipango yake jinsi inavyotekelezwa.

Kwa lugha fupi ni kwamba Zitto Kabwe na ACT-Wazalendo yake hawafurahishwi na kasi na juhudi za Serikali ya awamu ya 5 katika kutatua kero mbali mbali za wananchi hususani kero kubwa ya maji, ambapo Prof.Kitila ndiye aliyepewa dhamana ya kuwa mtendaji mkuu wa
sekta ya maji akihudumu kama Katibu Mkuu wa Wizara ya maji,anayekesha na kuzunguka Tanzania nzima kuhakikisha maji yanapatikana kwa raia wote wa Tanzania.

Walikuwa wanamkwamisha katika kutekeleza kwa ufanisi majukumu yake ya kumsaidia Mh. Rais katika kuleta huduma ya maji safi na salama kwa watanzania wote.

Kiukweli nampongeza Prof Kitila kwa uamuzi wake huu wa kishujaa wa kuamua kuwatumikia watanzania na kuachana na minyororo ya siasa uchwara za wapinzani wanaotaka watanzania waendelee kuumia huku wao wakitumia shida za wananchi kama mitaji yao ya kisiasa.

Yaani Zitto Kabwe haoni mafanikio ya Serikali ya awamu ya 5 pamoja na kwamba miaka ni miezi 3 tu imepita tokea Mh.Rais Magufuli azindue mradi mkubwa wa maji kutoka Ziwa Tanganyika pale Kigoma mjini .

Tunaposema wapinzani hawapendi nchi hii ipige hatua ya maendeleo, huu ndio mfano halisi ,kutoka kwa Zitto Kabwe aliyeziita Bombadier zetu "Bajaji" lakini "bajaji" hizohizo alizozinanga leo hii zimeweza kumuwezesha yule Muha mfanyabiashara wa dagaa kutoka Kigoma kufanya biashara kwa urahisi kabisa tofauti na hapo awali.

Tuwe makini na watu wanaosema wako na sisi pamoja lakini tukigeuka nyuma hatuwaoni.

Augustino Chiwinga.
 
Kitila alimaliza kazi asiyotumwa na Boss wake upinzani,Wamuache mzee wa watu ale mema ya nchi.Zitto hajui kusoma hata alama za nyakati.
 
Siasa ni mchezo na ndio maana kuna terminology kama "political tacts", "political game" " fair play" ktk political science hivyo kujivua uanachama sio kuwa chama chote ni vibaraka na wala si kuwa tuamini yakuwa chama chote ni wapinzani wa kweli "tuache wakati ujibu" kwa ACT wazalendo ni mapema sana kuwahukumu wakati bado hawaijui kesho yao.
 
Nimekaa nimetafakari sana kitendo cha Professa Kitila Mkumbo kuamua kujiuzulu uanachama na uongozi katika chama cha ACT-Wazalendo.
Ameelezea sababu iliyomfanya ajiuzulu ni mgongano wa kimaslahi uliopo baina yake yeye aliyepo Serikalini na chama chake, inamuwia vigumu pale anapowaelezea kuhusu mafanikio ya Serikali ,na mipango yake jinsi inavyotekelezwa.

Kwa lugha fupi ni kwamba Zitto Kabwe na ACT-Wazalendo yake hawafurahishwi na kasi na juhudi za Serikali ya awamu ya 5 katika kutatua kero mbali mbali za wananchi hususani kero kubwa ya maji, ambapo Prof.Kitila ndiye aliyepewa dhamana ya kuwa mtendaji mkuu wa
sekta ya maji akihudumu kama Katibu Mkuu wa Wizara ya maji,anayekesha na kuzunguka Tanzania nzima kuhakikisha maji yanapatikana kwa raia wote wa Tanzania
Walikua wanamkwamisha katika kutekeleza kwa ufanisi majukumu yake ya kumsaidia Mh. Rais katika kuleta huduma ya maji safi na salama kwa watanzania wote.

Kiukweli nampongeza Prof Kitila kwa uamuzi wake huu wa kishujaa wa kuamua kuwatumikia watanzania na kuachana na minyororo ya siasa uchwara za wapinzani wanaotaka watanzania waendelee kuumia huku wao wakitumia shida za wananchi kama mitaji yao ya kisiasa.

Yaani Zitto Kabwe haoni mafanikio ya Serikali ya awamu ya 5 pamoja na kwamba miaka ni miezi 3 tu imepita tokea Mh.Rais Magufuli azindue mradi mkubwa wa maji kutoka Ziwa Tanganyika pale Kigoma mjini .

Tunaposema wapinzani hawapendi nchi hii ipige hatua ya maendeleo, huu ndio mfano halisi ,kutoka kwa Zitto Kabwe aliyeziita Bombadier zetu "Bajaji" lakini "bajaji" hizohizo alizozinanga leo hii zimeweza kumuwezesha yule Muha mfanyabiashara wa dagaa kutoka Kigoma kufanya biashara kwa urahisi kabisa tofauti na hapo awali.
Tuwe makini na watu wanaosema wako na sisi pamoja lakini tukigeuka nyuma hatuwaoni.

Augustino Chiwinga.
Mh prof njaaa kali.. na yuko kimasrahi zaidi. But co wakwanza kwa tz yetu. Kwani hata viongoz wetu wengi hubadili misimamo ya kutetea wananchi na kuangalia maslahi binafsi..

Kwa bongo kawaida njaa kalii tu
 
Yaani sijui wanakuwaga wanajua kuwa wanaigiza au ni njaa kama inavyotuuma sote, fikiria re profese aliwekwa kwenye difenda kabisa! Prof. Baregu alifukuzwa UDSM sababu ya kushiriki siasa lakini Mkumbo ni sawa kielelezo kuwa Africa ni pagumu sana kwa mambo mengi.
 
Na bado! Sijui hii picha mnaielewa vizuri!!! Wakati wowote ukiona chama tawala katika Nchi yeyote wana urafiki na chama cha upinzani kuna kitu!!!

chadema na CCM (1).jpg
 
Intelligencia ya chadema ipo vizur sana ! Huyu bwana huyu kitila mkumbo alipambana sana kuhakikisha zzk anakuwa mwenyekit wa chadema lengo lake lilikuwa moja tu kukisambaratisha chama. Wapo waliotumia mgogoro ule wa kitila na zzk wakiwa cdm kama uminywaji wa democrasia at mbowe hataki kupingwa na yyte leo wako wapi. Kitila alienda act wazalendo na zzto ili kugawa kura za wapinzani baada ya hapo wakaanza kuzawadiwa vyeo at ionekane raisi anafanya kazi na wapinzani! Yani vyama vyoote hajaviona aone act wazalendo tu?
Kitila ni mnafiki tena sana na unafiki wake ulianzia tangu akiwa raisi wa DARUSO miaka ya 1990s huyu wanawasaliti wanafunzi kipindi cha mgomo ndipo akapewa zawadi ya kuwa mhadhil pale.
Yaani huo mgongano wa maslahi kauona leo tu mbona hata alipokuwa opp. na huku mwalimu kulikuwa na mgongano?
 
Mh prof njaaa kali.. na yuko kimasrahi zaidi. But co wakwanza kwa tz yetu. Kwani hata viongoz wetu wengi hubadili misimamo ya kutetea wananchi na kuangalia maslahi binafsi..

Kwa bongo kawaida njaa kalii tu
Ndugu yangu ni kiongozi yupi wa chama ambae hayuko kimasirahi binafsi?
 
Nimekaa nimetafakari sana kitendo cha Professa Kitila Mkumbo kuamua kujiuzulu uanachama na uongozi katika chama cha ACT-Wazalendo.

Ameelezea sababu iliyomfanya ajiuzulu ni mgongano wa kimaslahi uliopo baina yake yeye aliyepo Serikalini na chama chake, inamuwia vigumu pale anapowaelezea kuhusu mafanikio ya Serikali ,na mipango yake jinsi inavyotekelezwa.

Kwa lugha fupi ni kwamba Zitto Kabwe na ACT-Wazalendo yake hawafurahishwi na kasi na juhudi za Serikali ya awamu ya 5 katika kutatua kero mbali mbali za wananchi hususani kero kubwa ya maji, ambapo Prof.Kitila ndiye aliyepewa dhamana ya kuwa mtendaji mkuu wa
sekta ya maji akihudumu kama Katibu Mkuu wa Wizara ya maji,anayekesha na kuzunguka Tanzania nzima kuhakikisha maji yanapatikana kwa raia wote wa Tanzania.

Walikuwa wanamkwamisha katika kutekeleza kwa ufanisi majukumu yake ya kumsaidia Mh. Rais katika kuleta huduma ya maji safi na salama kwa watanzania wote.

Kiukweli nampongeza Prof Kitila kwa uamuzi wake huu wa kishujaa wa kuamua kuwatumikia watanzania na kuachana na minyororo ya siasa uchwara za wapinzani wanaotaka watanzania waendelee kuumia huku wao wakitumia shida za wananchi kama mitaji yao ya kisiasa.

Yaani Zitto Kabwe haoni mafanikio ya Serikali ya awamu ya 5 pamoja na kwamba miaka ni miezi 3 tu imepita tokea Mh.Rais Magufuli azindue mradi mkubwa wa maji kutoka Ziwa Tanganyika pale Kigoma mjini .

Tunaposema wapinzani hawapendi nchi hii ipige hatua ya maendeleo, huu ndio mfano halisi ,kutoka kwa Zitto Kabwe aliyeziita Bombadier zetu "Bajaji" lakini "bajaji" hizohizo alizozinanga leo hii zimeweza kumuwezesha yule Muha mfanyabiashara wa dagaa kutoka Kigoma kufanya biashara kwa urahisi kabisa tofauti na hapo awali.

Tuwe makini na watu wanaosema wako na sisi pamoja lakini tukigeuka nyuma hatuwaoni.

Augustino Chiwinga.
umenena kweli ,nimekuwa nikipata wasiwasi sana na hizi kauli za viongozi hawa wa upinzani wamekuwa kila kukicha ni kueleza mabaya tu ,inamaana serikali hii haina hata kimoja kizuri inachokifanya?
 
mwanzo walionywa kuwa act wazalendo itakufa kwa sababu wanaingizwa serikakini, hawakuelewa mpaka pale wakipoambiwa wanatekeleza ilani ya chama tawala, na sasa wanamtaka hata zito ili kife jumla jumla bila huruma!
 
Nimekaa nimetafakari sana kitendo cha Professa Kitila Mkumbo kuamua kujiuzulu uanachama na uongozi katika chama cha ACT-Wazalendo.

Ameelezea sababu iliyomfanya ajiuzulu ni mgongano wa kimaslahi uliopo baina yake yeye aliyepo Serikalini na chama chake, inamuwia vigumu pale anapowaelezea kuhusu mafanikio ya Serikali ,na mipango yake jinsi inavyotekelezwa.

Kwa lugha fupi ni kwamba Zitto Kabwe na ACT-Wazalendo yake hawafurahishwi na kasi na juhudi za Serikali ya awamu ya 5 katika kutatua kero mbali mbali za wananchi hususani kero kubwa ya maji, ambapo Prof.Kitila ndiye aliyepewa dhamana ya kuwa mtendaji mkuu wa
sekta ya maji akihudumu kama Katibu Mkuu wa Wizara ya maji,anayekesha na kuzunguka Tanzania nzima kuhakikisha maji yanapatikana kwa raia wote wa Tanzania.

Walikuwa wanamkwamisha katika kutekeleza kwa ufanisi majukumu yake ya kumsaidia Mh. Rais katika kuleta huduma ya maji safi na salama kwa watanzania wote.

Kiukweli nampongeza Prof Kitila kwa uamuzi wake huu wa kishujaa wa kuamua kuwatumikia watanzania na kuachana na minyororo ya siasa uchwara za wapinzani wanaotaka watanzania waendelee kuumia huku wao wakitumia shida za wananchi kama mitaji yao ya kisiasa.

Yaani Zitto Kabwe haoni mafanikio ya Serikali ya awamu ya 5 pamoja na kwamba miaka ni miezi 3 tu imepita tokea Mh.Rais Magufuli azindue mradi mkubwa wa maji kutoka Ziwa Tanganyika pale Kigoma mjini .

Tunaposema wapinzani hawapendi nchi hii ipige hatua ya maendeleo, huu ndio mfano halisi ,kutoka kwa Zitto Kabwe aliyeziita Bombadier zetu "Bajaji" lakini "bajaji" hizohizo alizozinanga leo hii zimeweza kumuwezesha yule Muha mfanyabiashara wa dagaa kutoka Kigoma kufanya biashara kwa urahisi kabisa tofauti na hapo awali.

Tuwe makini na watu wanaosema wako na sisi pamoja lakini tukigeuka nyuma hatuwaoni.

Augustino Chiwinga.
wacha uharo wewe CCM wako madarakani sasa ni miaka 57 lipi la maana walilofanya wakati nchi imejaa utajiri usio hisabika. nchi hii ina: dhahabu, almasi, shaba, chuma, silver, tanzanite, urinium, makaa ya mawe, wanyama pori, misitu, mito isio pungua 50, maziwa ya maji yasio punguwa 100, ardhi bikra kabisa, gas, oil, miti, bahari na kadhalika na kadhalika ni bora ukatafute chibuku au gongo la kienyeji usitake kututapisha hapo kwa porojo zako.
 
wacha uharo wewe CCM wako madarakani sasa ni miaka 57 lipi la maana walilofanya wakati nchi imejaa utajiri usio hisabika. nchi hii ina: dhahabu, almasi, shaba, chuma, silver, tanzanite, urinium, makaa ya mawe, wanyama pori, misitu, mito isio pungua 50, maziwa ya maji yasio punguwa 100, ardhi bikra kabisa, gas, oil, miti, bahari na kadhalika na kadhalika ni bora ukatafute chibuku au gongo la kienyeji usitake kututapisha hapo kwa porojo zako.
bibi yako kule kijijini hana ekari 50 za pori lakini analima moja tu!?..unafikiri dhahabu inatoka ardhini kuja juu ya USO wa dunia kwa maombi na dua!?..inahitaji kuwekeza na uwekezaji ni hela na hela si kitu kinachopatikana kirahisi,wenye nazo wana masharti yao
 
jamani siasa sio safe game,nakmbka mwaka jana kitila alihojiwa na clouds FM akawa anamponda kweli jpm et dictator uchwara
 
Back
Top Bottom